Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Njoo pmHakuna ufake,hizo ni sindano za kroloquine,mimi mwenyewe nina shimo la sindano.
Diamond kwa Wema amerudi kwa mapenzi tu, watoto anaoShida sio kuwa na wowowo. Shida ni kuwa huyo mwanamkeni productive?
Kama unakuwa na dem mkali ndani lakin hazai nin faida yake?
Sijaelewa shimo au kovu [emoji14]Hakuna ufake,hizo ni sindano za kroloquine,mimi mwenyewe nina shimo la sindano.
Hata mimi hili swali najiuliza kila sikuIla ndugu zake Diamond wanafiki sijawahi ona..leo washamsahau zari wa watu
Kwahiyo mkuu unataka kutuambia makalio yake ni zawadi toka kwa Mungu?Hakuna ufake,hizo ni sindano za kroloquine,mimi mwenyewe nina shimo la sindano.
Ameonesha dhahiri kwamba Zari kuwa na Mond alikuwa anakosa usingizi kabisa [emoji1][emoji1]Toka zari na daimond waachane kafurahi kweli kachizika anarusha vijembe ,wanawake kama wema wengi kweli anachizika kwenye hakuna[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa ila sindano zinaonekanaga vizuri tu, hicho ni kama kisu, kiwembe etc.Hakuna ufake,hizo ni sindano za kroloquine,mimi mwenyewe nina shimo la sindano.
Yaan alikuwa kimya kumbe alikuwa hana raha na zile video za zari na mond za mahaba zilikuwa zinamuumiza sanaAmeonesha dhahiri kwamba Zari kuwa na Mond alikuwa anakosa usingizi kabisa [emoji1][emoji1]
Yani Tangu Mond awe na Zari furaha aliikodisha baada ya Zari kusepa naona kairudisha.Yaan alikuwa kimya kumbe alikuwa hana raha na zile video za zari na mond za mahaba zilikuwa zinamuumiza sana
Ebu weka picha hapa tulinganishe ni kadimpo kalioni au alama ya mkato!Hakuna ufake,hizo ni sindano za kroloquine,mimi mwenyewe nina shimo la sindano.
Kwani unadhani mimi akinipa kama yeye ni mzima wa afya namuacha?? Namkamua kisawa sawa.Sijali wasemayo mamaa wema!
Ukinipa sivungi,sisusi.
Jogoo langu halichagui wembamba,weusi ,weupe,wanjano hata wabantu wenye vifurushi.
Huyu ndiye Wema sasa.Kwahiyo mkuu unataka kutuambia makalio yake ni zawadi toka kwa Mungu?View attachment 724684 hebu ona alivyokuwa mzuri.
Hakuna ufake,hizo ni sindano za kroloquine,mimi mwenyewe nina shimo la sindano.
Hapo sasa, asante kwa clip. Mchekini sasa muone hizo "CHLOROQUINE" zilivyofanya kazi.Hapa utayaona vizuri zaidi
Hajielewi, Hajithamini na wala Hajitambui!Huy dada anazidi kuchanganyikiwa na maisha tu maskini....