Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Huba linaleta upofu mama unachukua maugomvi ya watu hata hujui na kujifanya nawe eti una hater kwa kitu ganii labda ,ye awe kimya maana si muda daimond hajatulia atalia tenaNaona kalibeba 'beef' la Diamond Mgongoni,Kuingilia magomvi ya watu.Yeye angeanza mahaba yake yeye kama yeye.Hayo mambo ya Vijembe kwa habari zisizo na uhakika wala haistawishi pendo lake.Kama kweli kuna penzi akumbuke Zari alipendwa zaidi yake just few months back!
Atajijua na makalio yakeSi hadi asimame
Ila anamnyoosha Zari.Leo mama wa watu atalala vibaya.Bora wametuachia mond wetuHuba linaleta upofu mama unachukua maugomvi ya watu hata hujui na kujifanya nawe eti una hater kwa kitu ganii labda ,ye awe kimya maana si muda daimond hajatulia atalia tena
Kwetu Raahaa
Yawezekana Dai ndio anayo tiba ya maradhi yake ya moyoYaan bora hata angechizika kwa mwanaume alietulia ,,Diamond kicheche hataree anachizika kwenye 0 watu kama wema wengi tu tunawacheka kweli .
Anabeba kesi sio zake [emoji23][emoji23][emoji23]
Tumefurahii kwa kweli kutuachia Kivuruge wetu aoe mtz tuIla anamnyoosha Zari.Leo mama wa watu atalala vibaya.Bora wametuachia mond wetu
Acha wivu binti...subiri ukikuwa wo wo wo litakuja kama huna.Tuachie tz sweetheart wetuAtajijua na makalio yake
[emoji23] hater weweTumefurahii kwa kweli kutuachia Kivuruge wetu aoe mtz tu
Upuuzi tu kuna wanaume wanajua mahaba zaidi ya daimond sema labda anataka umaarufu tuYawezekana Dai ndio anayo tiba ya maradhi yake ya moyo
he he he
Hehehehehe ntaweka la mchina dada usijaliiAcha wivu binti...subiri ukikuwa wo wo wo litakuja kama huna.Tuachie tz sweetheart wetu
Wewe ndio hater humtaki zari[emoji23] hater wewe
Diamond ni sukari ya warembo.Upuuzi tu kuna wanaume wanajua mahaba zaidi ya daimond sema labda anataka umaarufu tu
Weka la mwingereza.Hehehehehe ntaweka la mchina dada usijalii
[emoji23] inaonekana zari alikua anamnyima raha kweli kweliToka zari na daimond waachane kafurahi kweli kachizika anarusha vijembe ,wanawake kama wema wengi kweli anachizika kwenye hakuna[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi hater tu,Zari alizidisha mdomo kama vile anamjua sana diamond kuliko mamake,mzee wa Kigoma hatutoki boiWewe ndio hater humtaki zari
Au unalazimisha mahater wakati hawapo
Ni kweli sukari kama Daby wanajua hatareeDiamond ni sukari ya warembo.
Kawaumbua vibaya kweli leoNadhani Leo kaonyesha kama hana yako feki si Mara kibao wanasemaga hana tako
Huna hater acha kulazimisha weweMimi hater tu,Zari alizidisha mdomo kama vile anamjua sana diamond kuliko mamake,mzee wa Kigoma hatutoki boi