Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Alibreach ngozi alivyoenda china ila hijaisha shogaaKuna kipindi walisema eti dada huyu ana michirizi na minyama uzembe ndo mana havaagi vya kuogelea,sas hii video nimeiangalia zaid ya mara 6 kutafuta michirizi na minyama uzembe
Alikua na michirizi ya creamy. Alivyodate na CK akampeleka China akaenda kufanyiwa surgery ya michirizi. Ko sasa hivi hana shida yoyote.
Nasikia ana mvuto wa hatari,Mbowe anaelewa zaidi[emoji12]Eh! Bhana! Acha DP azuzuke na huyu mrembo!
Sina uhakikaUongo??
Mama Sabrina maneno yako yanaonyesha una kalio la kihindi wallah..AhahahahaaWanawake wenye makalio makubwa wengi huwa hawana akili wakisifiwa tu akili zinahama usishangae
Haki tena Ngalikihinja nnalo wala si haba lakini linapendwa hatareeMama Sabrina maneno yako yanaonyesha una kalio la kihindi wallah..Ahahahahaa
Hapana!Alivyokuwa chadema huo upumbavu hajawai uufanya alivyorudi ccm ndo kuonyesha maungo kama lemutuz nikawaida ya ccm lakini.
Shonza hawezi mfungia naibu waziri bashite asije mtumbua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Jamani watu wa Jf mna vituko!Mama Sabrina maneno yako yanaonyesha una kalio la kihindi wallah..Ahahahahaa
Ahhaha kapenda traakoDiamond nae kwa kuzoazoa, sijui karogwa!!!
mna uhakika kama Icon wetu anapumzika pale?Ahhaha kapenda traako
Siyo lile la tunaangalia..... WOWOWOOOO???Haki tena Ngalikihinja nnalo wala si haba lakini linapendwa hataree
La slapping ass lipo
Sheikh inahusika nini hapo?hatari sana shekh
[emoji23][emoji23] wewe c unasemaga kigodoro? Aya leo unasemajhatari sana shekh
Kwanini? Mi nimehisi tu lakini...!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Jamani watu wa Jf mna vituko!
Anavyopenda k kama hewa anakula hata ukimtania tu anakulamna uhakika kama Icon wetu anapumzika pale?
Yake ilikia tofauti na hii yetu. Michirizi ya kujichubua na madawa inatisha. Yanakuaga kama yanavimba halafu meusii. Ck alitenda jambo zuri sana kwa ile surgeryIle michirizi ya pundamilia njemba wengine huipenda. Angeacha tu.