Video: Wema Sepetu akicheza wimbo wa WOWOWO live ndani ya swimming pool

Mama usisahau hizi simu janja kwa ku edit ni noma sana...mabunye kwishnehiii...miraba haipio kabisa.Lakini pale mwanzoni kuna sehemu imebonyea hatari.mpaka alama ya mkato imetokea.
Nimepaona apo shoga lakini akivaaga nguo yanatokezaga sasa sijui shida ni nini,au kaanza mazoez
 
Hamna mbaya...la Muhimu nakunya kama kawaida[emoji23] [emoji23] [emoji23] !!
Sio mimi,mimi nina pasi ya hatariiii nakalia mifupa!Watu wa JF buanaa!
Hehehehe ndio maana unanuka........[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntakuchafuaa wee nikome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…