Video: Wema Sepetu akicheza wimbo wa WOWOWO live ndani ya swimming pool

Video: Wema Sepetu akicheza wimbo wa WOWOWO live ndani ya swimming pool

Ila anamnyoosha Zari.Leo mama wa watu atalala vibaya.Bora wametuachia mond wetu
Akili za wanawake bana nyie noma bora nimeumbwa mwanaume majungu kama haya kukutana nayo kazi sana mademu wote aliiowachakaza mond wanawake wanatukana wanawake wenzao kwa kumsifia mond anavyowachakaza nafikir mmejijua mpo kwa ajili starehe tu kwa mwanaume
 
Akili za wanawake bana nyie noma bora nimeumbwa mwanaume majungu kama haya kukutana nayo kazi sana mademu wote aliiowachakaza mond wanawake wanatukana wanawake wenzao kwa kumsifia mond anavyowachakaza nafikir mmejijua mpo kwa ajili starehe tu kwa mwanaume
Hata wanaume wameumbwa kwa ajili ya kumstarehesha mwanamke...sio jambo jipya wala sipingi!
 
Zari akifanya ivo sifa kibao ila kafny wema kachanganyikiwa kwl unafiki hautatuacha salama
Daaaah! Haya mahaba na timu zenu ni ya dunia ingine; Sasa Zari kaingiaje humu?. Basi weka picha yake na yeye tumueleze kuwa hajitambui 😕
 
weeeee uchumi huu kauumia vibaya, kesho akinunua range rover, siku tatu inakamatwa na TRA cha kushangaza kwani anakuwa hajui pesa zinatakiwa tshs ngapi?
Wema mwenyewe tu hajielewi. Tako lile nashangaa mie halimwagi uwanjani. SIkwenye nyimbo wala kwenye michezo angelitamba kisawa sawa.

Hata humo kwenye bongo movie hua anlibaniabania.

Uchumi anao kaukalia tu.[/QUOTE
 
Mara ohoo tuna penda vimbaumbau sio wanene mawowo mengi vichwa vyake mabox [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kumbe wengi staki nataka duu,
wenye wowowo hoyeeeeee!
 
Ni huko afrika ya mashariki katika nchi ya TZ, ambapo msanii aliyeimba wimbo wenye fumbo tata (kibamia)amefungiwa pamoja na wimbo wake kuzuiwa kwa kukosa maadili lakini msanii WEMA sepetu amecheza au AMETUPIA video ya UCHI lakini si waziri shonza wala mwakyembe wala BASATA walioliona hilo,,,,pole R.O.M.A,pole DIAMOND,
 
Back
Top Bottom