XaviMessIniesta
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 2,231
- 2,778
Kaka yake Diamond?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za wanawake bana nyie noma bora nimeumbwa mwanaume majungu kama haya kukutana nayo kazi sana mademu wote aliiowachakaza mond wanawake wanatukana wanawake wenzao kwa kumsifia mond anavyowachakaza nafikir mmejijua mpo kwa ajili starehe tu kwa mwanaumeIla anamnyoosha Zari.Leo mama wa watu atalala vibaya.Bora wametuachia mond wetu
Hata wanaume wameumbwa kwa ajili ya kumstarehesha mwanamke...sio jambo jipya wala sipingi!Akili za wanawake bana nyie noma bora nimeumbwa mwanaume majungu kama haya kukutana nayo kazi sana mademu wote aliiowachakaza mond wanawake wanatukana wanawake wenzao kwa kumsifia mond anavyowachakaza nafikir mmejijua mpo kwa ajili starehe tu kwa mwanaume
Nani aoe huyo bibuila juwa kuwa Diamond na Zari hawajaachana na watafunga ndoa mwaka huu anayebisha ntamkumbusha siku hiyo
Mzee alitushauri watoto wake kuhusu kuoa. Usioe mwanamke mwenye matako makubwa, huyo atakuwa hana akili. Umenikumbusha Mama Sabrina.Wanawake wenye makalio makubwa wengi huwa hawana akili wakisifiwa tu akili zinahama usishangae
Zari akifanya ivo sifa kibao ila kafny wema kachanganyikiwa kwl unafiki hautatuacha salamaHajielewi, Hajithamini na wala Hajitambui!
Daaaah! Haya mahaba na timu zenu ni ya dunia ingine; Sasa Zari kaingiaje humu?. Basi weka picha yake na yeye tumueleze kuwa hajitambui 😕Zari akifanya ivo sifa kibao ila kafny wema kachanganyikiwa kwl unafiki hautatuacha salama
Wema mwenyewe tu hajielewi. Tako lile nashangaa mie halimwagi uwanjani. SIkwenye nyimbo wala kwenye michezo angelitamba kisawa sawa.
Hata humo kwenye bongo movie hua anlibaniabania.
Uchumi anao kaukalia tu.[/QUOTE