Video ya kusikitisha ya Rah P Akielezea Alivyoteswa na Kuzalishwa Watoto Wawili Marekani

Yuko poa lakin ,mambo ya chura,meno yake na ameonesha yeye kweli ni mwanamke,ana swagga,amelia.yuko poaa
Mkuu umeongea kitu kikubwa sana....
AMELIA..... Mwanamke anapolia japo moyo wake unakuwa kwenye maumivu makali ila hiyo kwa sisi mabazazi inakuwa inatupa kitu flan hivi....
 
Mi sidhan kama kuna ktu cha kujutia, inshort huko USA atakua kajifunza vitu vingi sana na kapata exposure ya kutosha so atumie hyo experience kuendeleza maisha yake hapa bongo au popote, hata angekua bongo pia yangemkuta tu, cha msingi ni kuendelea kukimbiza ndoto zake
 
Yes hata Mimi nimeona hana shida sana au pengine alikua Ana expect makubwa zaidi, but hata changamoto alizopata huko ni elimu tosha, elimu sio lazima ukae darasani
 
Mi naona kama anatafuta kick tu! kusupport track yake! Muuza unga for years mke wake lazima ajue kutokana na nature ya biashara yenyewe. kuna ka ukweli hakasemi! sababu siri yake...
 
mbona miaka yote ameishi nae poa tuu japo kuwa ni drugdealler,ndo maana wana fasihi wanasema,usipende xn kuupekua ukwel maana huwa unauma
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…