Dah anasikitisha sana ,anaongea kwa hisia mpaka analia ,kaacha shule kisa jamaa gani sijui alifall naye ,
Kumbe jamaa ni zungu la unga
Hapa ndio naposhindwa kuwaelewa baadhi ya wanawake anaacha ku persue dreams zake kisa mwanaume
Ila Kingereza chake kitamu kweli huwezi fikiri ni msukuma huyu
Sijui mdogo wake Caren Peyton kamaliza chuo pia
Usa baby
Siku nyingine mkikumbana na hayo rudini nyumbani na Marekani ndio hivyo haruhusiwi kufanya kazi popote
Nyumbani ni nyumbani tu