Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu Kasinja, asante kwa hii kitu. Japo fupi lakini very touching haswa kwa kuzingatia ni mwaka 1959 jamaa karekodi a color film enzi za black and white.Video ya Nyerere ambayo alirekodi mu Australia mwaka 1959 Nyerere alivyotembelea Lindi.
Nadhani yupo ntatafta jina lakeMkuu Kasinja, asante kwa hii kitu. Japo fupi lakini very touching haswa kwa kuzingatia ni mwaka 1959 jamaa karekodi a color film enzi za black and white.
Natamani kumjua huyo Mzungu ni nani na kama bado yuko hai.
P.
P
Mtanganyika...hili gari kweny hadithi ya mzee said inapatikana ukurasa wa ngapi?
Wakati mwingine huwa naona bora mkoloni angeendelea kuwepo. Lindi hapo inaonekana nzuri, barabara safi, mitaa imepangika. Hiyo ndiyo ilikuwa hali ya miji mingi kabla ya hii ngozi nyeusi kuanza kutawala.kusini ilikuwa na maendeleo makubwa kuliko sasa
Mzee...Wakati mwingine huwa naona bora mkoloni angeendelea kuwepo. Lindi hapo inaonekana nzuri, barabara safi, mitaa imepangika. Hiyo ndiyo ilikuwa hali ya miji mingi kabla ya hii ngozi nyeusi kuanza kutawala.
π π π π π π πUnajuaje kama Mi sijawahi kuiona mkuu[emoji16] [emoji16]
Mzee...
Hiyo picha imepigwa mwaka jana.
Huu mtaa umepewa jina la Sheikh Yusuf Badi kumuenzi sheikh huyo aliyekuwa mmoja wa wapigania uhuru wa Tanganyika.
Vitabu vyako vinapatikanaje?Mtanganyika...
Hiyo video Nyerere yuko Lindi ni mwaka wa 1959.
Unauliza gari hilo kwenye hadithi yangu inapatikana ukurasa wa ngapi.
Kwenye toleo la kwanza la kitabu cha Abdul Sykes, "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika," (London 1998), hadithi hii iko uk. wa 197.
Ni kisa cha kusisimua cha Ali Mnjale na Salum Mpunga waliokuja kuhudhuria mkutano wa kwanza wa TANU mwaka wa 1955 uliofanyika Ghadhi Hall Dar-es-Salaam.
Baada ya mkutano wajumbe hawa walikutana na uongozi wa TANU New Street kufahamisha tatizo lililoko Southern Province ambako makao yake makuu ni Lindi.
Huko Kusini kanisa lilikuwa linawatisha waumini wake wasijiunge na TANU kudai uhuru wakiwaambia kuwa Waislam walikuwa wanajipanga upya kuanzisha Maji Maji nyingine.
Ujumbe ule ukamtaka Mwalimu Nyerere aende Kusini kuzungumza na wananchi kuhusu nia na makusudi ya TANU.
Mwalimu alikwenda Lindi akifuatana na Ali Mwinyi Tambwe Secretary wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika).
Yapo mengi lakini tusimame hapa kwa sasa.
Wakati huo hao wenye hilo gari walikuwapo lakini hawakuwa karibu ya Nyerere kama alivyokuwa Sheikh Yusuf Badi, Ali Mnjale, Suleiman Mnonji, Mussa Athmani Lukundu, Yusuf Chembera kwa kuwataja wachache.
Hao wenye gari walisubiri hadi mwaka 1959 ndipo walipojitokeza kupiga picha na Nyerere.
View attachment 1956568
Mzee,Nazungumzia mitaa inayoonekana kwenye ile video siyo hiyo picha Sheikh wangu.
lakini ilikuwa strong, si kama magaro ya sasa haya vyuma imaraDuu hiyo migari ya zamani ilikuwa NA sura mbayaaa!
Ishomile,Vitabu vyako vinapatikanaje?