Video yaonyesha mabomba ya sindano yanayotuhumiwa kuwa ya Yanga kwenye chumba cha kubadilishia nguo Azam Complex

Video yaonyesha mabomba ya sindano yanayotuhumiwa kuwa ya Yanga kwenye chumba cha kubadilishia nguo Azam Complex

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3146942
SINDANO ZA KUONGEZA NGUVU FC
HAMISA MOBETO FC
KUMBATIA NYUKI ULE ASALI FC
SUPU YA NG'OMBE FC
TATU BILA FC
MANYANI NA MAMMBWA FC
LUC EYMAEL FC
WENYE AKILI WAWILI TU FC
GETI LA NYUMA FC
KIMOKO CHA AZAM FC
GAMONDI BONDIA FC
WAMWAGA UNGA KWENYE MAGETI FC.
WACHAWI FC
MAJINI YA BAHARINI FC
MR. MPILI MCHAWI MKUU YANGA FC
 
Toka mwanzo wenye macho ya mbali tuliliona hili chamsingi kama wanatumia waache itakuja kuwaponza
halaf ukizoea inakufanya uwe mraibu kama mlevi wa madawa ya kulevya ..mwisho wa siku itatokea mchezaji kadondoka bwiii mara mapovu..
 
download-1.jpg
 
Siyo majini tena? Sasa ni sindano... Bado hamjasema na mtasema. Ngoja mwenye kadi nyekundu, majeruhi warudi mtakuja na mengine. Na huyo Jemedari ni 🚮
 
Wenye Jamii Forums hebu futeni huu uzi na kisha pga BAN ''''WAUFUKWENI "' Naona analeta uongo na mda chonganishi !
Anataka kuharibu sfa ya mpira wetu
 
Wakuu

Kuna hii video imezua mijadala na kuibua tuhuma mbaya kwa klabu ya Yanga kuwa hudungwa Sindano wakati wa mechi zao ambayo mchambuzi wa Soka nchini Jemedari Said amezi-share kupitia ukurasa wake wa Instagram na maelezo haya:
Maybe ni busta ya kimya. Ila kamere
Wakuu

Kuna hii video imezua mijadala na kuibua tuhuma mbaya kwa klabu ya Yanga kuwa hudungwa Sindano wakati wa mechi zao ambayo mchambuzi wa Soka nchini Jemedari Said amezi-share kupitia ukurasa wake wa Instagram na maelezo haya:
.maybe busts ila kamere kuzibwa indeed tume ichunguze. Ni kwanini na sababu gani? Nani aliye toa ruhusa uovu hii utendeke.
 
Wakuu

Kuna hii video imezua mijadala na kuibua tuhuma mbaya kwa klabu ya Yanga kuwa hudungwa Sindano wakati wa mechi zao ambayo mchambuzi wa Soka nchini Jemedari Said amezi-share kupitia ukurasa wake wa Instagram na maelezo haya:
najaribu kuangalia hii video mara mbili mbili sioni km hii video inawahusu yanga,hata maelezo ya jemedari hayajasema hii video ni ya timu gani...amakweli KICHWA KISICHO NA AKILI MZIGO KWA SHINGO
 
Manara! Manara! Manara.... Nimekuita mara tatu, kugombamia cheo cha uafisa habari kusikufanye utoe siri za mwajiri wako
Mnajitekenya na mnakazisha uadui kati ya Manara na wana Yanga. Mzee wa Watu hana hizo. Tafuteni sababu nyingine.
 
Back
Top Bottom