Mhh ana mazito huyu mama..
Ivan akiwa hali ulimsimanga leo unamkumbuka? Wew ulijuwa unawazidi warembo wote wa tz mondi hana neno kwako? Ahaaa subiri kuna kingine kifaa kipya soon kinachukua nafasi.
Sasa hapa unamwambia zari au sisi wasomajiIvan akiwa hali ulimsimanga leo unamkumbuka? Wew ulijuwa unawazidi warembo wote wa tz mondi hana neno kwako? Ahaaa subiri kuna kingine kifaa kipya soon kinachukua nafasi.
Ukipendwa pendeka ivan ndo aliyekuwa mwenye mapenzi kwako huku bongo utapwaya. Na anawatafuna kukukumbusha hata uliemwavha alikuwa mwanaume kama mond na bado.kuna siku utafunga kila kilichochako uage tz.
Mfupa ulomshinda fisi binadamu ataweza? Zari kama ulishindikana kwa ivan mondi atakuwezea wap?
Trust me one day utamkumbuka ivan
neno kuntu hili... wanasemaga mkataa pema pabaya panamwita....ivan alikuwa muungwana sana hata walipoachana hakuwahi kujihusisha na uhuni uhuni wa wazi wazi alijitahi kulea watoto wake kiimaadili. lkn dada yetu kutwa alikuwa anabadili mabwana na kuwaonyesha hadharani.. .na kujirecord anajichujua juu.Ivan akiwa hali ulimsimanga leo unamkumbuka? Wew ulijuwa unawazidi warembo wote wa tz mondi hana neno kwako? Ahaaa subiri kuna kingine kifaa kipya soon kinachukua nafasi.
Ukipendwa pendeka ivan ndo aliyekuwa mwenye mapenzi kwako huku bongo utapwaya. Na anawatafuna kukukumbusha hata uliemwavha alikuwa mwanaume kama mond na bado.kuna siku utafunga kila kilichochako uage tz.
Mfupa ulomshinda fisi binadamu ataweza? Zari kama ulishindikana kwa ivan mondi atakuwezea wap?
Trust me one day utamkumbuka ivan
We maisha yake na Ivan unayajuwaje ? Unakurupuka tuu tu tu tu, tafuta kazi yakufanya maisha yawengine hayakuhusu .Ivan akiwa hali ulimsimanga leo unamkumbuka? Wew ulijuwa unawazidi warembo wote wa tz mondi hana neno kwako? Ahaaa subiri kuna kingine kifaa kipya soon kinachukua nafasi.
Ukipendwa pendeka ivan ndo aliyekuwa mwenye mapenzi kwako huku bongo utapwaya. Na anawatafuna kukukumbusha hata uliemwavha alikuwa mwanaume kama mond na bado.kuna siku utafunga kila kilichochako uage tz.
Mfupa ulomshinda fisi binadamu ataweza? Zari kama ulishindikana kwa ivan mondi atakuwezea wap?
Trust me one day utamkumbuka ivan
Hujitambui mm na wewe nani wa kutafuta kazi? Kapimwe akiri mdogo wangu.We maisha yake na Ivan unayajuwaje ? Unakurupuka tuu tu tu tu, tafuta kazi yakufanya maisha yawengine hayakuhusu .
Post sent using JamiiForums mobile app
Umeona ehee? Na bado watamkomoaneno kuntu hili... wanasemaga mkataa pema pabaya panamwita....ivan alikuwa muungwana sana hata walipoachana hakuwahi kujihusisha na uhuni uhuni wa wazi wazi alijitahi kulea watoto wake kiimaadili. lkn dada yetu kutwa alikuwa anabadili mabwana na kuwaonyesha hadharani.. .na kujirecord anajichujua juu.
sasa amepatikana kwa mtandale mbona atajuta
Insta kwa watoto nifate nn? Uzi umeletwa hapa naandika hapa hapa wapambe wake si wapo? Au yeye unajuaje kama hayupo jf?Sasa hapa unamwambia zari au sisi wasomaji
Hayo maneno mfate insta ktk page yake ukamwambie naona hapo kama vile sio sahihi