Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Waliosema dunia hadaa ulimwengu shujaa waliona mbaliSaivi hatuko naye tena... Alionywa hakawa na kichwa kikubwa, wakaombwa Maaskofu wamuombe atulie yeye akawananga hadharani na kasema anahitaji 6B yake....
Hakuelewa kuwa haelewi kitu, wakamdanganya kuwa 'wewe ni kachelo mbobevu' kumbe Dunia ishabadilika pakubwa-Hakutambua wakati uliofaa!