Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Bro zito, ndugai ana kisukari, achana naye, huwa kinapanda anafanya mambo ya ajabu sana.Mwaka jana Zitto Kabwe katikati ya mgogoro wa Ndugai na CAG alitabiri kuwa CAG ''kisiki'' Prof. Mussa Assad anafanyiwa zengwe la kuondolewa na kuletwa CAG dhaifu.
Sikiliza hiyo video
View attachment 1253825
Alimpiga mgombea mwenzake rungu la kichwa jamaa akazimia, hata wewe anaweza kuku-tundulissu