Videos: Nelly na wenzake humu wamekazania naishi Uswizi wakati naishi Copenhagen Denmark

Hivyo!
nikija Pm nalamba kwanza Maswali...?

Sijamaanisha kwa kila mtu. It depends mtu amekujaje.

Huyo alikuwa ni mtu mgeni kwangu, na akaja 'kipigaji'. Nami ikanibidi niende naye kijelajela.

He really deserved such treatment.

-Kaveli-
 
Wekeni permit bana,video hata mimi naweza weka.
Piga ua zaragaza l
Sasa hapa si kama uzunguni tu pale matalawe songea?
Nenda ktk monument yoyote inayojulikana kisha piga picha hata ya karatasi uliyooandika mimi former copenhagen wa jf now stefano.. nipo hapa nabeba maboksi, angalau tutaamini kidogo!
WanaJF mnavimbwenga.
 
Hahahaha moderator wame mind wameona jamaa ametunywesha sana chai

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo Para ana chai za next level aisee.

Uzi wake nilochoka kabisa ni ule aloenda kula bata kwenye Braque Night Club, kufika mle akakuta pamejaa mapaja matamu ya totoz kali mpaka akajimwagia bao ndani ya kaptula.

Wakati analeta chai hii, alishajisahau kuwa Geneva tayari ilishatangaza official total lockdown. Ila yeye akatimba club πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

-Kaveli-
 
Hahahaha ... Yule jamaa itakua nati zimelegea kichwani
 
Fanya kunirushia Pound, au hata dorali ili nijue kuwa upo ulaya au ulaya ya vijijini?
 
Nashangaa ameni-tag kwanza aliweka thread namna ambavyo serikali inatoa msaada wa chakula then mda huohuo Para akasema ametoka kupokea msaada ndo akakutana na mtoto wa kiitaliano.

Achana na hawa kuna mwenzao Billions yeye alifungua thread kuhusu "connection" huku akidai mwenye kutaka kuungwa atupie namba pm as if sijui chochote nikamwambie anipe link nijiunge mwenyewe (WhatsApp group) akagoma akasema,





"KAMA HUNA SHIDA NA CONNECTION PITA HIVI"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…