mke wangu alijifungua mtoto mkubwa 5.5kg bahati mbaya, toka december 2011, anasema kuna mabadiliko asiyoelewa kama: 1)akikaribia kupata hedhi joto linapanda sana na anajisikia kama anaumwa akipima malaria hana
2)masaa machache kabla ya hedhi anajisikia kama kuna kitu kinajizungusha chini ya kitovu ambayo yana ambatana na maumivu
3)siku 3 za mwanzoni anatokwa na damu nyingi siku ya 4 na kwendelea damu inatoka kidogo kidogo yaani haikatiki, alipima hospitali akaambiwa ana vidonda kwenye mji wa uzazi akapewa dawa ya kumeza hedhi ikakatika, tatizo la hedhi mda mrefu lilijitokeza mwezi wa 5 na huu mwezi wa 6 anasema tatizo limerudi, hii ni siku ya7 damu inatoka kidogo kidogo haikatiki, na anapata maumivu chini ya kitovu. yanakuja na kupotea, kwa sasa hajatumia dawa yoyote
SWALI: je hili tatizo linatibika na linaweza kuathiri uwezekano wa mke wangu kupata uja uzito? Tupo mwanza, naomba msaada tafadhali.
2)masaa machache kabla ya hedhi anajisikia kama kuna kitu kinajizungusha chini ya kitovu ambayo yana ambatana na maumivu
3)siku 3 za mwanzoni anatokwa na damu nyingi siku ya 4 na kwendelea damu inatoka kidogo kidogo yaani haikatiki, alipima hospitali akaambiwa ana vidonda kwenye mji wa uzazi akapewa dawa ya kumeza hedhi ikakatika, tatizo la hedhi mda mrefu lilijitokeza mwezi wa 5 na huu mwezi wa 6 anasema tatizo limerudi, hii ni siku ya7 damu inatoka kidogo kidogo haikatiki, na anapata maumivu chini ya kitovu. yanakuja na kupotea, kwa sasa hajatumia dawa yoyote
SWALI: je hili tatizo linatibika na linaweza kuathiri uwezekano wa mke wangu kupata uja uzito? Tupo mwanza, naomba msaada tafadhali.