Vidonda visivyo vya kawaida kwenye uume

Vidonda visivyo vya kawaida kwenye uume

Friday Malafyale

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2017
Posts
1,811
Reaction score
2,916
Kichwa kinajiekeza.

Ndugu zangu wiki mbili zilizopita nilijiona kitu cha tofauti kwenye kichwa cha uume wangu kwanza ulianza kama mwasho sana basi nikawa najikuna sana kadri nikijikuna nasikia raha, nikajua ni kawaida tu, then next three days nikawa napata kama michubuko kwenye kichwa tu nikajua labda ni mabadiliko madogo tu kwenye mwili.

Sasa kilichonifanya kuandika uzi huu nikaona vipele vinakuja mbele ya kichwa cha dudu sijajua chanzo ninini maana nimeoa na sijatoka nje ya ndoa. Imefanya nishindwe kufanya mapenzi na mke wangu kwa wiki tatu sasa.

Hospitali sikwenda ila nilienda pharmacy attendant akasema yawezekana mitumba tunayovaa nikaona sio sababu sahihi, kuna dawa nikapewa napaka sehemu zenye matatizo tu je yaweza kuwa ninini hasa wataalamu?

Magonjwa ya ngono sina kabisa
 
Kijana umeshapata gono,nenda hospitali ukatibiwe,

Usiache pia kumtibu mkeo,itapendeza zaidi mkaenda wote hospitali
 
Mkuu kuna ugonjwa wa namna hiyo naona umeingia sasa.


Ila sehemu inayowasha sio ya siri tu bali ni mwili mzima. Na ukijikuna unapata vidonda. Sijajua ni ugonjwa gani exactly
Kama ulikuwepo vile last one month wanangu wadogo waliugua upele nikawanunulia dawa inaitwa "Opele" japo mtaalamu alisisitiza nguo kufuliwa na kunyooshwa kwa pasi. Nahisi nimepata uambukizo kutoka nguo za watoto maana mda mwingine wife anachaganya nguo
 
Hiyo ni kaswende kama wewe hujawai toka nje ya ndoa yako badi mkeo katoka na kakuletea hiyo kitu ni hatari wahi hospital na lazima mkeo pia apate dozi sawa na uatakayopata wewe.
Tumepimwa hakuna mwenye uambukizo wa magonjwa ya ngono
 
Hujaenda hosp alafu huna magonjwa ya zinaa

Mara huchepuki..kama mkeo ndio kakuletea??

anyway kama unajua unachepuka au mkeo mchepukaji

Azithromycin 1g kunywa mara moja tu

Acyclovir 400mg unywe kila baada ya masaa 8 kwa siku 10 tu

Choma Sindano ya Benzathine penicillin 2.4MU ... ( kila tako utachomwa 1.2MU) mara moja tu.

KAMA HUCHEPUKI NA MKEO HACHEPUK

Nunua ...." BBE" ..pakaa eneo lote liloathiriwa paka asubuh...Jion...... Inawasha lkn utapona.
 
Nenda hosipitali haraka.

Kama unawaogopa daktari basi piga picha uiweke hapa walioko huku wakupe mwongozo.
No kimaadili haitakiwi, ila kuna mtu ameshauri jambo zuri sana yawezekana ni uambukizo kutokana na nguo coz watoto walipata vipele yawezekana imekuja kwangu pia
 
Mkuu umepima saa ngapi, toka umeanzisha uzi huu mara umepima yawezekana huu uzi umetunga
Sikuliweka kwenye thread ila kama natunga sawa ndio demokrasia hiyo una uhuru huo mimi nilikuwa natafuta ushauri tu
 
Back
Top Bottom