Vidonda vya kichwani vinaniharibia binti yangu

Vidonda vya kichwani vinaniharibia binti yangu

edman

Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
42
Reaction score
6
Wadau msaada katika hili, binti ana miaka mitatu toka amezaliwa, tatizo la vidonda kichwan kila nywele zinapoota kichwan. Nimehangaika na dawa na ushauri tofauti tofauti lakini mafanikio yamekuwa haba kwani tatizo huondoka nywele zinapoondolewa mara zinapoota vidonda hujirudia, naomben ushauri ndugu zangu.
 
Mpeleke Ekenywa Hospital ipo magomeni mwembe chai Gharama ni kubwa kidogo but sure I am telling u atapona pale wanapima kwanza ndio wanakuambia na tatizo husika unapatiwa Dozi ndani ya week 1 tu utaona mabadiliko binafsi nilikuwa na tatizo kama hilo but me lilinianzia ukubwani nimesota nalo miaka 6 hvi but Ekenywa wakanitibu
 
Wadau msaada katika hili, binti ana miaka mitatu toka amezaliwa, tatizo la vidonda kichwan kila nywele zinapoota kichwan. Nimehangaika na dawa na ushauri tofauti tofauti lakini mafanikio yamekuwa haba kwani tatizo huondoka nywele zinapoondolewa mara zinapoota vidonda hujirudia, naomben ushauri ndugu zangu.

Pole sana mkuu!,Mungu ni mwema mtoto atapona tu.Haya ni mapito ya Duniani na dunia ndo sehemu pekee ya Mambo haya kujitokeza.
 
Back
Top Bottom