Waungwana kwema? Ni kweli vidonge hivi Ni kwaajil ya kuleta hamu ya kula?
Mimekuta kwenye mkoba wa mke wangu,ananiambia Ni vya kuongezeka hamu ya kula, na siku hizi amenenepa amekuwa na shepu tofauti na mwanzo, wataalam hii Ni kweli? Au ndio mchina at work?
Mimekuta kwenye mkoba wa mke wangu,ananiambia Ni vya kuongezeka hamu ya kula, na siku hizi amenenepa amekuwa na shepu tofauti na mwanzo, wataalam hii Ni kweli? Au ndio mchina at work?