princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikatafute unga bado sijala...nikirudi ntakupa hints kidogo.. Ila taja Jina la aina ya dawa unazotumia ...
Umeclick hiyo link?mbona mada siioni
mbona mada siioni
Pulmonary embolism is a big risk for oral contraceptive,make sure to have a regular check up with your gynacologistHabari waungwana.
nmeanza kutumia vidonge vya majira ili kurekebisha mfumo wa siku zangu...
Je, zina ubaya wowote?![]()
![]()
nitegemee madhara gani au athari gani kutokana na hizi dawa.
(nna mpango wa kuzitumia miezi mi2 tu)
ndio naona tu jf web viewUmeclick hiyo link?
yesuuu!!! ngoja niziacheHuwa zinapunguza chura, achana nazo please![emoji30]
Nahisi labda net yako haiko strong fanya hivi nenda google search heading ya topic yako zitakuja links nyingi sana zikiwemo za humuhumu jf zilizowahi kujadiliwa utapata ufumbuzi wa tatizo lakondio naona tu jf web view
sawa nitafanya hivo sasa hiviNahisi labda net yako haiko strong fanya hivi nenda google search heading ya topic yako zitakuja links nyingi sana zikiwemo za humuhumu jf zilizowahi kujadiliwa utapata ufumbuzi wa tatizo lako
kwanza nikuulize kitu dear?sawa nitafanya hivo sasa hivi
Je una watoto?? Taratibu usijepata ugumba kwa matumizi ya hizo dawa ukafa bila mtoto.Habari waungwana.
nmeanza kutumia vidonge vya majira ili kurekebisha mfumo wa siku zangu...
Je, zina ubaya wowote?
nitegemee madhara gani au athari gani kutokana na hizi dawa.
(nna mpango wa kuzitumia miezi mi2 tu)
Huyo anazuga anachepuka ila anaogopa mtoto akizaliwa mume wake anaweza kwenda kwa mkemia kupima DNA na mkemia alivyo nuksi ukifika anapima kama ushatumia tu manji. Ndo maana ana haraka hata kasahau kuclick au siyo princess arianaUmeclick hiyo link?
mmeenda mara kadhaa napimwa utra wanaswma sina chochote ni mabadiliko aya mwili.kwanza nikuulize kitu dear?
ushawai kwenda kwa dokta?
una umri gani?
period yako inaenda siku ngapi siku hizi?
[emoji3][emoji3][emoji3]niko njia kuuHuyo anazuga anachepuka ila anaogopa mtoto akizaliwa mume wake anaweza kwenda kwa mkemia kupima DNA na mkemia alivyo nuksi ukifika anapima kama ushatumia tu manji. Ndo maana ana haraka hata kasahau kuclick au siyo princess ariana
umri wako kwanza?mmeenda mara kadhaa napimwa utra wanaswma sina chochote ni mabadiliko aya mwili.
kwingine wakasema affection za u
t.i
nikapewa dawa sikupona ,
nmeenda mpaka nikapewa dawa ya u.t.i sugu ikapona uti wakasema hedhi inaharibiwa na uti na madawa nnayokunywa yanasababisha homoni zisiwe sawa..
nikaenda kwingine wakanipa dawa nikapona..uti kabisa na vigezo na masharti nazingatia...
miezi mi4 sasa siku zinaenda sawa sawa
lakini tatizo
hedhi inatoka kidogo sana, japo siku3 ila kidogo
hapo ndo tatizo na maumivu ya tumbo + nyonga usiseme kabisa
Ohooooo!!!Huwa zinapunguza chura, achana nazo please![emoji30]