PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Duh!!!Je una watoto?? Taratibu usijepata ugumba kwa matumizi ya hizo dawa ukafa bila mtoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!!!Je una watoto?? Taratibu usijepata ugumba kwa matumizi ya hizo dawa ukafa bila mtoto.
23umri wako kwanza?
usitumie dawa yoyote kwa vile ulikuwa na uti na ndo umepona tulia kwanza ila kula vizuri jipe kama miezi sita hiv
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji41]Huyo anazuga anachepuka ila anaogopa mtoto akizaliwa mume wake anaweza kwenda kwa mkemia kupima DNA na mkemia alivyo nuksi ukifika anapima kama ushatumia tu manji. Ndo maana ana haraka hata kasahau kuclick au siyo princess ariana
sawa nitajitahidiusitumie dawa yoyote kwa vile ulikuwa na uti na ndo umepona tulia kwanza ila kula vizuri jipe kama miezi sita hiv
kunywa juice sana na mboga mbogasawa nitajitahidi
waweza niambia nile vyakula vya aina gani?
maaana kwetu chapati kila asubui
mchana ugali daily , jioni wali tuu..
nahisi kama nalo tatizo mlo mmoja daily
kanunue majani ya giligilini chemsha hayo majani. unywe maji yake kwenye kikombe kwa siku tatu mfululizo utaona mafanikiosawa nitajitahidi
waweza niambia nile vyakula vya aina gani?
maaana kwetu chapati kila asubui
mchana ugali daily , jioni wali tuu..
nahisi kama nalo tatizo mlo mmoja daily
giligilini?kanunue majani ya giligilini chemsha hayo majani. unywe maji yake kwenye kikombe kwa siku tatu mfululizo utaona mafanikio
giligilanigiligilini?
ngoja nigoogle..giligilani
nenda sokoni au supermarket zipo kibaongoja nigoogle..
Hayo majani yanasaidia au yanatibu nini.[emoji120] [emoji120] [emoji120]kanunue majani ya giligilini chemsha hayo majani. unywe maji yake kwenye kikombe kwa siku tatu mfululizo utaona mafanikio
periodHayo majani yanasaidia au yanatibu nini.[emoji120] [emoji120] [emoji120]
ngoja tukatafutenenda sokoni au supermarket zipo kibao
miss nakuomba Dm dadaperiod
imepona...uti sinaPole sana mdada ila sio fashion katumia majira kwanza ni bora kabla ya katumia dawa yoyote inakubidi ujue action in the body then side effects alafu tatzo la uti kuna drug inaitwa amoxyclavu ni latest version drug ni nzuri sana kwa uti Pia ukianza dose mfano uti usiache dose unasababisha resistance ya bacteria kwa specific drug hivyo hufanya tatzo kuwa sugu
Usipende sana kuvitumia maana sio vizuriHabari waungwana.
nmeanza kutumia vidonge vya majira ili kurekebisha mfumo wa siku zangu...
Je, zina ubaya wowote?
nitegemee madhara gani au athari gani kutokana na hizi dawa.
(nna mpango wa kuzitumia miezi mi2 tu)
nmeachaUsipende sana kuvitumia maana sio vizuri