kuna uwezekano mkubwa pimples hizo kuwa zimesababishwa na vidonge vya majira,tena afadhari wewe wengine wanaota nywele uso mzima,wengine maziwa kuwa makubwa kupindukia,wengine wanakuwa wembamba kupita kiasi,wengine wanakosa kabisa hamu ya kumega sakaramenti ya ndoa nk.hivyo ukiacha kutumia hizo pimlpes zitaisha kadri siku zinavyosonga mbele.
....hakuna jibu la moja kwa moja kuwa ukiacha kutumia kuwa itakaa muda gani unaweza kupata mimba,maana hormone hotofautiana kati ya mtu na mtu na hutemea na effects ya hizo dawa kwenye huo mwili,wengine inaweza kuchukua miezi 2 na kuendelea au miaka,au kutopata mimba maisha yote.
......kwa sababu zipo njia nzuri za asili zisizo na madhara kwenye mwili wako unaweza tumia hizo kama kalenda nk.
kwa kifupi vidonge vya majira vina madhara mengi hasa vilivyotengenezwa kwa ajili ya soko la afrika.......kama ukivitumia ukija kupjaaliwa kupata mtoto shukuru mungu,ujauzito utapata lakini mara zote huharibika,na hayo ni kwa uchache cancer pia haichezi mbali
njia ya mkato kama hutaki mimba acha kufanya matusi.Asanteni itabidi niziache lakini j baada ya kuacha tu nikishika mimba je manake mtt sitaki tena kwa sbb ya huyu bwana je nitakuwa naua tu naomba basi mnifahamishe kalenda lakini kwa mm kalenda pia vigumu je njia nyingine
Asanteni itabidi niziache lakini j baada ya kuacha tu nikishika mimba je manake mtt sitaki tena kwa sbb ya huyu bwana je nitakuwa naua tu naomba basi mnifahamishe kalenda lakini kwa mm kalenda pia vigumu je njia nyingine
Mimi mzunguko wangu siku 28 nikiws na kula hv vidonge lakini kabla ya kula vidonge ni siku kama mwezi na siku tano hv na napata siku tano mpk sita
Habari zenu ndugu zangu naomba ushauri wenu kuhusu vidonge vya majira;
Mimi natumia majira leo mwaka kwa sababu sitaki kuzaa na huyu bwana na pia mnajua yote kuhusu mimi sasa naona naharibika uso kwa pimples sana je ni.kwa ajili ya hivi dawa mwanzo sikuwa nazo kabisa na je nikitaka kuviacha nitapata mimba hapohapo au nitachelewa kwa sababu sitaki kuzaa na matatizo ya pimples ndo yamezidi je nyie mnasemaje.