VIDONGE VYA OMEGA 3: Yasababisha kasi ya kupata saratani ya kibofu?

Hasa wanaume ndo mna kazi sana ya kujilinda na kansa ya kibofu cha mkojo.

Kumbuka MziziMkavu alisema hata supplements za kichina siyo nzuri, zinaleta kansa.
 
Last edited by a moderator:
supplement tutaacha vipi hayo mafuta na vyakula wanayoongeza virutubisho ni vya nini?kila kitu nachosoma siku hizi tunaambiwa ni sumu.

Kilichobakia ni kutotumia supplements kabisa.
 
aiseee ujue mom slikuwa na cancer pia tulikuwa tunampa hivi vidonge tuliambiwa na dokta...sasa?????????? dah
hii nchi jamani...ujinga ni kitu kibaya kwa kweli.
 
Sitoacha ng'o kutumia supplements, ila sio vyema kutumia supplements bila kujua mwili wako una mapungufu gani, na hii ni lazima kufanya vipimo, na pia kuna kampuni bora za utengenezaji supplements Kama, amway, life extension,total balance,ultra preventive x, essential e.t.c, kwani hata vyakula tunavyokula vinaweza kuwa sumu kwasababu mbali mbali Kama vile wapi kililimwa ktk mazingira gani, mbolea gani zilitumika, environmental factors.
 
kweli mkuu kila kitu ni sumu....chaguo ni lako.kila kitu kwa sasa kipo contaminated
 
supplement tutaacha vipi hayo mafuta na vyakula wanayoongeza virutubisho ni vya nini?kila kitu nachosoma siku hizi tunaambiwa ni sumu.

Chagua mafuta na vyakula ambavyo havina supplements.

Badala ya kununuliwa hivyo vyakula nunua mwenyewe.

Badala ya kupikiwa pika mwenyewe ili usile vitu vyenye supplements.

Ukienda kazini funga chakula chako home na nenda nacho kazini.

Hapa najua kuna baadhi ya watu wataponda kufungisha chakula na kwenda nacho kazini.

Ila huku bush kwetu tunafungisha sana chakula tunapoenda shamba.

Lakini kama wewe huko town ni mtu wa kula kitimoto au kuku wa kukaanga bila kudadisi mafuta yanayotumika au jinsi hao kuku walivyokuzwa then, uko kwenye hatari ya kula supplements kwa sana.

At the end of the day in wewe utakayeamua ule nini. Kigezo cha kuwa unaishi mjini ni excuse tuu maana mahindi na alizeti zetu tunazolima huku bush zinapelekwa sana huko town.

Ndiyo maana mie nimeamua kujikita kula wadudu maana hawa bado hawajaongezewa supplements: https://www.jamiiforums.com/habari-...nga-la-njaa-un-yashauri-watu-wale-wadudu.html

Halafu kuna siri kubwa ya kula wadudu ambayo watu wengi bado hawajaijua. Smile atakudokezea.
 
Siku izi kila kitu kina madhara.
Everything to God in prayers!
 
kila kitu sumuuuuuu nachoka na life hili duh!

kula asilia kadri inavyowezekana hizi chenga za mwanadamu ndizo zina shida..............
 
kweli mkuu kila kitu ni sumu....chaguo ni lako.kila kitu kwa sasa kipo contaminated

tumia asilia na utapunguza hizi purukshani
 

kwa kifupi ni kuwa simamia uhai wako na utaishi raha mustarehe...........
 
Mi nameza omega 3 sasa kwa miaka 4 niliambiwa na daktari na nimeona faida yake na kila dawa lazima ina mapungufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…