Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Ndo unachowazaMadume wenzangu majabali, ukweli ni kwamba hawa watoto kike wa kiislamu ni watamu balaa, wazuri, watundu kunako, sasa kesho waanza mfungo itakuwa mwezi wote huu?
Turudi kwa kina manka kwa kichaga?
View attachment 3254415
Wapi wamedhalilishwa?Baada ya kudhalilisha wanawake wakisilamu umepata nini?
Unaweza kukuta sio Mkristo pia...ni paganismKwani nyie wakristo mwezi huu hamfungi??!
Dada zenu watamuMakafiri wana matatizo sana.
Ukristo ni nini? Vitu umeletewa na wazungu, ndio unajimwambafai navyo.😂Unaweza kukuta sio Mkristo pia...ni paganism
Wakristo tunaanza kufunga jtano
Wewe umevumbua nini? Pia ngono ndio imefanya wewe ukazaliwa, tena wewe huenda ukawa siyo mtoto wa ndoa.Baada ya muda fulani huyu atakuja kufungua uzi humu akilalamikia maisha
Vijana acheni upumbavu...kweli CCM ni tatizo,lakini hebu tupunguze upumbavu kwanza
Kweli kijana mzima,dunia hii watu wanapambana kila siku kugundua vitu vizuri na namna zote kufanya dunia iwe mahali pazuri ...wewe unawaza NGONO?
Mimi sio muislamu lakini Huna adabu kwa kutaja upumbavu wako na tendo takatifu ambalo ni ibada kuu kwa wenzangu
Bahati mbaya watu kama ninyi mnazeeka
Utelezi na jotoHivi Kuna mwanamke mtamu? Huo utamu wake ukoje?