Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Unaweza kukuta sio Mkristo pia...ni paganism
Wakristo tunaanza kufunga jtano
Ni kweli...inawezekana hana dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kukuta sio Mkristo pia...ni paganism
Wakristo tunaanza kufunga jtano
Dini ni nini?Ni kweli...inawezekana hana dini
Suluari...simu...elimu ...mashati...gari...kuvitaja vingi,tumeletewa na wazunguUkristo ni nini? Vitu umeletewa na wazungu, ndio unajimwambafai navyo.😂
Dini ni namna waliochagua watu kumwabudu muumba waoDini ni nini?
Yote kwa yote...ukute hapo una degree au diploma...basi form 4 au form 6Wewe umevumbua nini? Pia ngono ndio imefanya wewe ukazaliwa, tena wewe huenda ukawa siyo mtoto wa ndoa.
Wewe unawaza nini ukute kiazi tu, unasubiri ajira za sa 💯Yote kwa yote...ukute hapo una degree au diploma...basi form 4 au form 6
Jamii inaweza tegemea jambo jipya kwa kijana hasara namna hii...jua lote hili anawaza ngono?
Huyu anaweza kuwa na fikra yoyote kuhusu dirt ya taifa ya maendeleo,kuipinga au kuisupport?
Ona aibu
Sisubiri ajira...nilienda shule...nimeajiri na napambana niajiri wengi zaidiWewe unawaza nini ukute kiazi tu, unasubiri ajira za sa 💯
Well said...huyu hawezi sifia ndoa...dada gani anaweza kufunga ndoa na mwanaume anaewaza ngono kama mnyama...so akimpata watakuwa wanafanana na haitakuwa ndoaSema wazinzi wenzio, wenye ndoa zao wataendelea kuenjoy uumbaji wa Mungu.