Vienna Protocol inakataza kukamata Balozi wa mwenzio. Tanzania ilikamata balozi wake yenyewe! Kumvua ubalozi hakufuti aibu

Vienna Protocol inakataza kukamata Balozi wa mwenzio. Tanzania ilikamata balozi wake yenyewe! Kumvua ubalozi hakufuti aibu

Kwameh

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2011
Posts
1,793
Reaction score
2,152
Laughing stock of the world. Kituko cha dunia. Jinsi Muafrika asivyojijali, asivyojiheshimu, asivyojipenda, asivyo na upeo.

Rais aliyepita alisema mkimkamata mtu wetu huko duniani na madawa mnyongeni juu kwa juu, hatuna shida.

Imewekwa Vienna Protocol kulinda mabalozi wa mwezio. Wewe humlindi hata wa kwako mwenyewe! Unamkamata, kisa mtazamo tofauti juu ya sera ya uwekezaji wa bandari ya nchi.

Halafu ukishtuka unamwachia, unamvua ubalozi ili uje umkamate tena. Aibu. Office of Legal Counsel ya Ikulu itafutiwe mwekezaji awe anawasaidie ushauri wa kisheria.
 
Laughing stock of the world. Kituko cha dunia. Jinsi Muafrika asivyojijali, asivyojiheshimu, asivyojipenda, asivyo na upeo.

Rais aliyepita alisema mkimkamata mtu wetu huko duniani na madawa mnyongeni juu kwa juu, hatuna shida.

Imewekwa Vienna Protocol kulinda mabalozi wa mwezio. Wewe humlindi hata wa kwako mwenyewe! Unamkamata, kisa mtazamo tofauti juu ya sera ya uwekezaji wa bandari ya nchi.

Halafu ukishtuka unamwachia, unamvua ubalozi ili uje umkamate tena. Aibu. Office of Legal Counsel ya Ikulu itafutiwe mwekezaji awe anawasaidie ushauri wa kisheria.
Balozi mpuuzi anashughulikiwa ipasavyo
 
Slaa kinachomponza ni kwa sababu aliwahi kuwa padri wa kikatoliki. Kwa wahafidhina serikalini, ukatoliki ni sumu isiyotakiwa. Balozi Karume majuzi alisuguana sana na serikali na CCM lakini haikutokea akakamatwa na kuvuliwa ubalozi. Karume angekuwa mkatoliki, yangemkuta haya haya ya Slaa, lakini yeye alikuwa upande salama unaoruhusiwa kuonyewa na kuyamaliza.
 
Mh. Rais atafute kioo, halafu aangalie hicho kioo,atakaye muona hapo basi ajue huyo ndiye anayemkwamisha.
na hana washauri wa kumwambia cha maana

kazungukwa na watoto ambao anataka kuwa control 100%, anataka wamuite Mama, angalia clip ya Samia akifunga mafunzo ya ma RC na ma DC ndio utajua ni kiongozi wa aina gani na watu anaotaka wamzunguke
 
Balozi Mwakasyafuka alihamia kwenye kambi ya upinzani na akabaki kuwa Balozi hadi mauti yanamkuta. Hakuna maslahi yoyote katika kuwa na hadhi ya Ubalozi bali ni kusema kuwa mtu huyo aliwahi kuwa balozi. Ni kama kanali wa jeshi; hata akifanya nini huwezi kusema hakuwahi kuwa kanali - bado ataikwa kanali tu. Mama amehemuka tu, na hakuna faida yoyote anayopata katika uamuzi wake huu zaidi ya kuonyesha dunia kuwa hana umakini katika maamuzi.
 
Tabia ya mtu haijifichi ipo siku ukweli utadhihiri, utajihidi sana uonekane mwema machoni pa watu lakini kumbe moyoni umejaa uchafu tu.
 
Huyo Rais tangu aitangazie Dunia Mbowe ni gaidi, halafu ushahidi wenyewe ukawa vichekesho nikamuona Kuna sehemu anapwaya.
 
Laughing stock of the world. Kituko cha dunia. Jinsi Muafrika asivyojijali, asivyojiheshimu, asivyojipenda, asivyo na upeo.

Rais aliyepita alisema mkimkamata mtu wetu huko duniani na madawa mnyongeni juu kwa juu, hatuna shida.

Imewekwa Vienna Protocol kulinda mabalozi wa mwezio. Wewe humlindi hata wa kwako mwenyewe! Unamkamata, kisa mtazamo tofauti juu ya sera ya uwekezaji wa bandari ya nchi.

Halafu ukishtuka unamwachia, unamvua ubalozi ili uje umkamate tena. Aibu. Office of Legal Counsel ya Ikulu itafutiwe mwekezaji awe anawasaidie ushauri wa kisheria.
si uisome vizuri na uielewe vema hiyo viena protocol halafu ndio uje pole pole kueleza dukuduku kuliko kamsitari kamoja
 
Laughing stock of the world. Kituko cha dunia. Jinsi Muafrika asivyojijali, asivyojiheshimu, asivyojipenda, asivyo na upeo.

Rais aliyepita alisema mkimkamata mtu wetu huko duniani na madawa mnyongeni juu kwa juu, hatuna shida.

Imewekwa Vienna Protocol kulinda mabalozi wa mwezio. Wewe humlindi hata wa kwako mwenyewe! Unamkamata, kisa mtazamo tofauti juu ya sera ya uwekezaji wa bandari ya nchi.

Halafu ukishtuka unamwachia, unamvua ubalozi ili uje umkamate tena. Aibu. Office of Legal Counsel ya Ikulu itafutiwe mwekezaji awe anawasaidie ushauri wa kisheria.
Mungu atupatie rais Watanzania maana huyu wa sasa ameshaonesha mwelekeo wake hauna afya kwa Taifa.
 
si uisome vizuri na uielewe vema hiyo viena protocol halafu ndio uje pole pole kueleza dukuduku kuliko kamsitari kamoja
Vienna Protocol sio quantum mechanics. Ni mkataba wa kimataifa wa kulinda wanadiplomasia. Balozi hakamatwi kamatwi ovyo. Plain and simple.

Siku Tanzania iki protest mwanadiplomasia wake kukamatwa wataambiwa nyinyi ma hypocrite, mabalozi wenu wenyewe mnawakamata, hata hamuelewi the spirit of the treaty you signed.
 
Mungu atupatie rais Watanzania maana huyu wa sasa ameshaonesha mwelekeo wake hauna afya kwa Taifa.
Issue kubwa kwa Slaa ni ukatoliki wake; huenda hata Mabeyo akakutana na kadhia hiyo kwani nae ni mkatoliki. itachukua uamuzi mgumu sana serikalini kutangaza Balozi Mabeyo.
 
Back
Top Bottom