Vietel haooooo!

Vietel haooooo!

JUAN MANUEL

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
7,808
Reaction score
16,972
Jana kwenye taharifa ya habari,kupitia luninga ya STAR TV,Kulikuwa na taharifa kuhusu maofisa wa kampuni ya VIETTEL,kutoka Vietam,ambavyo walipata fulsa ya kumtembelea Mhe Rais IKULU dar,

Ni habari njema kwa wale walioomba nafasi mbalimbali katika kampuni hii,miezi kadhaa iliyopita,tuvute subira mambo yanaweza kuwa mazuri.
 
Back
Top Bottom