Vietnam waonyesha njia, fisadi wa kike ahukumiwa kifo baada ya kupiga dola bilioni 12.5 ambazo ni asilimia 3 ya pato la Taifa

Vietnam waonyesha njia, fisadi wa kike ahukumiwa kifo baada ya kupiga dola bilioni 12.5 ambazo ni asilimia 3 ya pato la Taifa

Richard

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2006
Posts
15,692
Reaction score
23,038
Mwanamke mmoja wa Vietnam mfanyabiashara tajiri wa kutupwa anefanya biashara ya kuuza nyumba na majengo (Estate and property Developer) amehukumiwa kifo baada ya kupiga fedha kiasi cha dola bilioni 12.5

Katika kesi kubwa ya ufisadi na upigaji ilomkabili mwanamke huyo Truong My Lan, imedaiwa kuwa kati ya mwaka 2012 na 2022 mwanamke huyo akitumia kampuni yake ya Van Thinh Phat aliweza kuidhibiti benki moja ya Saigon Joint Stock Commercial Bank na kupitisha fedha za upigaji kwenda kwenye akaunti hewa zenye makampuni hewa.

Pia wakati huohuo inadaiwa Truong alikuwa akificha uhalifu wake kwa kuwalipa na kuwaziba midomo maofisa mbalimbali wa serikali ili wasifichue upigaji wake.

Wachunguzi na wachambuzi mbalimbali duniani ambao wamevutiwa na kuanza kudadisi kuhusu kesi hiyo ya aina yake wamekuwa wakijadili ni njia zipi mama huyo Truang alikuwa akitumia kuwa miaka kumi bila kugundulika?

Vikampuni hewa.

Lakini wachunguzi nchini Vietnam walibaini kuwa mama huyo kwa kutumia kampuni yake ya Van Thinh Phat aliweza kufungua vikampuni vidogovidogo vipatavyo 1000 ambapo aliweza kutumia majina ya vikampuni hivyo kuomba mikopo katika mabenki nchini Vietnam hususan benki ya SCB.

Kwa mujibu wa televisheni ya serikali ya VN Express mikopo hiyo ilolipwa kwa vijikampuni hivyo imeisababishia serikali hasara ya dola bilioni 27.

Katika kujiweka sawa kifedha pia Truong aliweza kufanikisha uuzwaji wa benki ya Saigon ilonunuliwa na benki ingine ya SCB katika mchakato wa kipigaji ulosimamiwa na benki kuu ya Vietnam ambapo maofisa wanosimamia huduma za kibenki walilipwa ujira wa fedha.

Mmoja wa lmaofisa hao wa benki ambae alilipwa Truong fedha kaisi cha dola milioni 5.2 tayari yupo jela akitumikia kifungo cha maisha kwa kufanikisha upigaji huo pamoja na kukiuka taratibu za kibenki au twasema "violating banking regulations".

Kashfa ilomfanya raisi ajiuzulu.

Mapema mwaka 2023 raisi Nguyen Xuan Phuc alikumbwa na kashfa ya ufisadi na upigaji ambapo wakati wa kipindi cha ugonjwa wa uviko -19 aliruhusu ipigaji kutamalaki. Raisi Nguyen alipatwa na kashfa hiyo baada ya kampeni ya kupambana na ufisadi iloanzishwa na katibu mkuu wa chama tawala cha kikomunisti, kushika kasi.

Katibu mkuu wa chama cha kikomunisti Nguyen Phu Trong alianzisha kampeni ya kupambana na ufisadi mwaka 2016 iloitwa "Blazing Farnaces" ambapo alisema nchi bila kuw ana nidhamu kutakuwa an vurugu na ghasia na hivyo kulihitajika uwiano kati ya demokrasia na utawala wa sheria.

Katika kuthibitisha kuwa kampeni hiyo ya "Blazing Farnaces" ina nguvu, aliekuwa raisi Von van Thuong mwezi march mwaka huu alijiuzulu nafasi yake baada ya kugundulika kuwa nae ni mshiriki wa ufisadi na upigaji.

Katika kipindi cha miaka mitatu maraisi wawili wa Vietnam wamejiuzulu kwasababu ya kunyamazia ufisadi unofanywa na watu wa chini, maofisa wa serikali, mabenki pamoja na wafanyabiashara.

Kampeni iloanzishwa na bwana Trong yaonyesha yaweza kufanya kazi pale inaposimamiwa kikamilifu na viongozi badała ya kusitishwa au kufia njiani ambapo nchi inakuwa haiendelei au kutoona maendeleo yoyote ya kiuchumi.

Nao mfumo wa Kleptokrasia ambao hutumiwa na viongozi mafisadi inaonyesha kuwa waweza kudhibitiwa na kuondolewa pale tu umakini na ufuatiliaji unapopewa kipaumbele na kiongozi na timu yake badała ya kuuachia uote mizizi.

Vyanzo vilotumika: Reuters, VN Express. Corruption watch na AP.
 
Mwanamke mmoja wa Vietnam mfanyabiashara tajiri wa kutupwa anefanya biashara ya kuuza nyumba na majengo (Estate and property Developer) amehukumiwa kifo baada ya kupiga fedha kiasi cha dola bilioni 12.5

Katika kesi kubwa ya ufisadi na upigaji ilomkabili mwanamke huyo Truong My Lan, imedaiwa kuwa kati ya mwaka 2012 na 2022 mwanamke huyo akitumia kampuni yake ya Van Thinh Phat aliweza kuidhibiti benki moja ya Saigon Joint Stock Commercial Bank na kupitisha fedha za upigaji kwenda kwenye akaunti hewa zenye makampuni hewa.

Pia wakati huohuo inadaiwa Truong alikuwa akificha uhalifu wake kwa kuwalipa na kuwaziba midomo maofisa mbalimbali wa serikali ili wasifichue upigaji wake.

Wachunguzi na wachambuzi mbalimbali duniani ambao wamevutiwa na kuanza kudadisi kuhusu kesi hiyo ya aina yake wamekuwa wakijadili ni njia zipi mama huyo Truang alikuwa akitumia kuwa miaka kumi bila kugundulika?

Vikampuni hewa.

Lakini wachunguzi nchini Vietnam walibaini kuwa mama huyo kwa kutumia kampuni yake ya Van Thinh Phat aliweza kufungua vikampuni vidogovidogo vipatavyo 1000 ambapo aliweza kutumia majina ya vikampuni hivyo kuomba mikopo katika mabenki nchini Vietnam hususan benki ya SCB.

Kwa mujibu wa televisheni ya serikali ya VN Express mikopo hiyo ilolipwa kwa vijikampuni hivyo imeisababishia serikali hasara ya dola bilioni 27.

Katika kujiweka sawa kifedha pia Truong aliweza kufanikisha uuzwaji wa benki ya Saigon ilonunuliwa na benki ingine ya SCB katika mchakato wa kipigaji ulosimamiwa na benki kuu ya Vietnam ambapo maofisa wanosimamia huduma za kibenki walilipwa ujira wa fedha.

Mmoja wa lmaofisa hao wa benki ambae alilipwa Truong fedha kaisi cha dola milioni 5.2 tayari yupo jela akitumikia kifungo cha maisha kwa kufanikisha upigaji huo pamoja na kukiuka taratibu za kibenki au twasema "violating banking regulations".

Kashfa ilomfanya raisi ajiuzulu.

Mapema mwaka 2023 raisi Nguyen Xuan Phuc alikumbwa na kashfa ya ufisadi na upigaji ambapo wakati wa kipindi cha ugonjwa wa uviko -19 aliruhusu ipigaji kutamalaki. Raisi Nguyen alipatwa na kashfa hiyo baada ya kampeni ya kupambana na ufisadi iloanzishwa na katibu mkuu wa chama tawala cha kikomunisti, kushika kasi.

Katibu mkuu wa chama cha kikomunisti Nguyen Phu Trong alianzisha kampeni ya kupambana na ufisadi mwaka 2016 iloitwa "Blazing Farnaces" ambapo alisema nchi bila kuw ana nidhamu kutakuwa an vurugu na ghasia na hivyo kulihitajika uwiano kati ya demokrasia na utawala wa sheria.

Katika kuthibitisha kuwa kampeni hiyo ya "Blazing Farnaces" ina nguvu, aliekuwa raisi Von van Thuong mwezi march mwaka huu alijiuzulu nafasi yake baada ya kugundulika kuwa nae ni mshiriki wa ufisadi na upigaji.

Katika kipindi cha miaka mitatu maraisi wawili wa Vietnam wamejiuzulu kwasababu ya kunyamazia ufisadi unofanywa na watu wa chini, maofisa wa serikali, mabenki pamoja na wafanyabiashara.

Kampeni iloanzishwa na bwana Trong yaonyesha yaweza kufanya kazi pale inaposimamiwa kikamilifu na viongozi badała ya kusitishwa au kufia njiani ambapo nchi inakuwa haiendelei au kutoona maendeleo yoyote ya kiuchumi.

Nao mfumo wa Kleptokrasia ambao hutumiwa na viongozi mafisadi inaonyesha kuwa waweza kudhibitiwa na kuondolewa pale tu umakini na ufuatiliaji unapopewa kipaumbele na kiongozi na timu yake badała ya kuuachia uote mizizi.

Vyanzo vilotumika: Reuters, VN Express. Corruption watch na AP.
Hivi haiwezekani tukaazima hizo Sheria za kupambana na ufisadi za Vietnam?
Tuzitumie hapa kwetu kwa miaka miwili tuuu!!!
Baada ya hapo tunawarudishia Sheria zao!!!
 
Hivi haiwezekani tukaazima hizo Sheria za kupambana na ufisadi za Vietnam?
Tuzitumie hapa kwetu kwa miaka miwili tuuu!!!
Baada ya hapo tunawarudishia Sheria zao!!!
Huwezi kuazima Ila twaweza kujifunza.

Hapo kilichofanywa ni kiongozi mkuu wa chama ambae alikuja na wazo na wazo łąkę likakubalika na kuwa sera na baadae kampeni.
 
Hii taarifa niliiona jana asubuhi.

Nikawa nasema na Mke wangu hivi Tanzania mtu aliyeweza kuiba pesa yenye thamani ya $44 Bilioni anaweza kweli kukamatwa.

Kiuhalisia kuna michezo ya kisiasa katika hii kesi ya huyu bibie.

Ni pesa nyingi sana ameiba na kufuja kwa muda mrefu.
 

Attachments

  • 561CD139-255E-41DD-B402-44094AB72739.jpeg
    561CD139-255E-41DD-B402-44094AB72739.jpeg
    672.2 KB · Views: 2
Kawaida sana hizo nchi za kikomunisti za Asia zina sheria kali kweli kweli na wanapenda adhabu za kutoa uhai.

Vietnam, China anti corruption zinasomba matajiri na viongozi wao wa serikali na chama balaah

Singapore nao balaah wana visheria vigumu hatari
 
Hii taarifa niliiona jana asubuhi.

Nikawa nasema na Mke wangu hivi Tanzania mtu aliyeweza kuiba pesa yenye thamani ya $44 Bilioni anaweza kweli kukamatwa.

Kiuhalisia kuna michezo ya kisiasa katika hii kesi ya huyu bibie.

Ni pesa nyingi sana ameiba na kufuja kwa muda mrefu.
Kesi yake ni ya muda mrefu kuhusu kampuni yake ya real estate
 
Mwanamke mmoja wa Vietnam mfanyabiashara tajiri wa kutupwa anefanya biashara ya kuuza nyumba na majengo (Estate and property Developer) amehukumiwa kifo baada ya kupiga fedha kiasi cha dola bilioni 12.5

Katika kesi kubwa ya ufisadi na upigaji ilomkabili mwanamke huyo Truong My Lan, imedaiwa kuwa kati ya mwaka 2012 na 2022 mwanamke huyo akitumia kampuni yake ya Van Thinh Phat aliweza kuidhibiti benki moja ya Saigon Joint Stock Commercial Bank na kupitisha fedha za upigaji kwenda kwenye akaunti hewa zenye makampuni hewa.

Pia wakati huohuo inadaiwa Truong alikuwa akificha uhalifu wake kwa kuwalipa na kuwaziba midomo maofisa mbalimbali wa serikali ili wasifichue upigaji wake.

Wachunguzi na wachambuzi mbalimbali duniani ambao wamevutiwa na kuanza kudadisi kuhusu kesi hiyo ya aina yake wamekuwa wakijadili ni njia zipi mama huyo Truang alikuwa akitumia kuwa miaka kumi bila kugundulika?

Vikampuni hewa.

Lakini wachunguzi nchini Vietnam walibaini kuwa mama huyo kwa kutumia kampuni yake ya Van Thinh Phat aliweza kufungua vikampuni vidogovidogo vipatavyo 1000 ambapo aliweza kutumia majina ya vikampuni hivyo kuomba mikopo katika mabenki nchini Vietnam hususan benki ya SCB.

Kwa mujibu wa televisheni ya serikali ya VN Express mikopo hiyo ilolipwa kwa vijikampuni hivyo imeisababishia serikali hasara ya dola bilioni 27.

Katika kujiweka sawa kifedha pia Truong aliweza kufanikisha uuzwaji wa benki ya Saigon ilonunuliwa na benki ingine ya SCB katika mchakato wa kipigaji ulosimamiwa na benki kuu ya Vietnam ambapo maofisa wanosimamia huduma za kibenki walilipwa ujira wa fedha.

Mmoja wa lmaofisa hao wa benki ambae alilipwa Truong fedha kaisi cha dola milioni 5.2 tayari yupo jela akitumikia kifungo cha maisha kwa kufanikisha upigaji huo pamoja na kukiuka taratibu za kibenki au twasema "violating banking regulations".

Kashfa ilomfanya raisi ajiuzulu.

Mapema mwaka 2023 raisi Nguyen Xuan Phuc alikumbwa na kashfa ya ufisadi na upigaji ambapo wakati wa kipindi cha ugonjwa wa uviko -19 aliruhusu ipigaji kutamalaki. Raisi Nguyen alipatwa na kashfa hiyo baada ya kampeni ya kupambana na ufisadi iloanzishwa na katibu mkuu wa chama tawala cha kikomunisti, kushika kasi.

Katibu mkuu wa chama cha kikomunisti Nguyen Phu Trong alianzisha kampeni ya kupambana na ufisadi mwaka 2016 iloitwa "Blazing Farnaces" ambapo alisema nchi bila kuw ana nidhamu kutakuwa an vurugu na ghasia na hivyo kulihitajika uwiano kati ya demokrasia na utawala wa sheria.

Katika kuthibitisha kuwa kampeni hiyo ya "Blazing Farnaces" ina nguvu, aliekuwa raisi Von van Thuong mwezi march mwaka huu alijiuzulu nafasi yake baada ya kugundulika kuwa nae ni mshiriki wa ufisadi na upigaji.

Katika kipindi cha miaka mitatu maraisi wawili wa Vietnam wamejiuzulu kwasababu ya kunyamazia ufisadi unofanywa na watu wa chini, maofisa wa serikali, mabenki pamoja na wafanyabiashara.

Kampeni iloanzishwa na bwana Trong yaonyesha yaweza kufanya kazi pale inaposimamiwa kikamilifu na viongozi badała ya kusitishwa au kufia njiani ambapo nchi inakuwa haiendelei au kutoona maendeleo yoyote ya kiuchumi.

Nao mfumo wa Kleptokrasia ambao hutumiwa na viongozi mafisadi inaonyesha kuwa waweza kudhibitiwa na kuondolewa pale tu umakini na ufuatiliaji unapopewa kipaumbele na kiongozi na timu yake badała ya kuuachia uote mizizi.

Vyanzo vilotumika: Reuters, VN Express. Corruption watch na AP.
Huyu maza katolewa mhanga tu kama ilivyokuwa kwa Dr Ruja Ignatov. Kuna vigogo wapo nyuma yake ndio maana huu utapeli umedumu kwa mdua mrefu.
 
Sheria za kiislamu huitwa zinapinga haki za binaadamu, na hulalamikiwa kila sehemu, Lakini nashangaa sheria za far east zinachukuliwa poa.
 
Uwajishwaji wa viongozi kwa nchi zetu za kiafrika ni ngumu maana kuna mnyororo mrefu wa viongozi, siku tukitaka kupata maendeleo ya kweli inabidi tujitoe kwelikweli
Hawa wezi wa kiafrika ni umbwa kabisa!
 
Mwanamke mmoja wa Vietnam mfanyabiashara tajiri wa kutupwa anefanya biashara ya kuuza nyumba na majengo (Estate and property Developer) amehukumiwa kifo baada ya kupiga fedha kiasi cha dola bilioni 12.5

Katika kesi kubwa ya ufisadi na upigaji ilomkabili mwanamke huyo Truong My Lan, imedaiwa kuwa kati ya mwaka 2012 na 2022 mwanamke huyo akitumia kampuni yake ya Van Thinh Phat aliweza kuidhibiti benki moja ya Saigon Joint Stock Commercial Bank na kupitisha fedha za upigaji kwenda kwenye akaunti hewa zenye makampuni hewa.

Pia wakati huohuo inadaiwa Truong alikuwa akificha uhalifu wake kwa kuwalipa na kuwaziba midomo maofisa mbalimbali wa serikali ili wasifichue upigaji wake.

Wachunguzi na wachambuzi mbalimbali duniani ambao wamevutiwa na kuanza kudadisi kuhusu kesi hiyo ya aina yake wamekuwa wakijadili ni njia zipi mama huyo Truang alikuwa akitumia kuwa miaka kumi bila kugundulika?

Vikampuni hewa.

Lakini wachunguzi nchini Vietnam walibaini kuwa mama huyo kwa kutumia kampuni yake ya Van Thinh Phat aliweza kufungua vikampuni vidogovidogo vipatavyo 1000 ambapo aliweza kutumia majina ya vikampuni hivyo kuomba mikopo katika mabenki nchini Vietnam hususan benki ya SCB.

Kwa mujibu wa televisheni ya serikali ya VN Express mikopo hiyo ilolipwa kwa vijikampuni hivyo imeisababishia serikali hasara ya dola bilioni 27.

Katika kujiweka sawa kifedha pia Truong aliweza kufanikisha uuzwaji wa benki ya Saigon ilonunuliwa na benki ingine ya SCB katika mchakato wa kipigaji ulosimamiwa na benki kuu ya Vietnam ambapo maofisa wanosimamia huduma za kibenki walilipwa ujira wa fedha.

Mmoja wa lmaofisa hao wa benki ambae alilipwa Truong fedha kaisi cha dola milioni 5.2 tayari yupo jela akitumikia kifungo cha maisha kwa kufanikisha upigaji huo pamoja na kukiuka taratibu za kibenki au twasema "violating banking regulations".

Kashfa ilomfanya raisi ajiuzulu.

Mapema mwaka 2023 raisi Nguyen Xuan Phuc alikumbwa na kashfa ya ufisadi na upigaji ambapo wakati wa kipindi cha ugonjwa wa uviko -19 aliruhusu ipigaji kutamalaki. Raisi Nguyen alipatwa na kashfa hiyo baada ya kampeni ya kupambana na ufisadi iloanzishwa na katibu mkuu wa chama tawala cha kikomunisti, kushika kasi.

Katibu mkuu wa chama cha kikomunisti Nguyen Phu Trong alianzisha kampeni ya kupambana na ufisadi mwaka 2016 iloitwa "Blazing Farnaces" ambapo alisema nchi bila kuw ana nidhamu kutakuwa an vurugu na ghasia na hivyo kulihitajika uwiano kati ya demokrasia na utawala wa sheria.

Katika kuthibitisha kuwa kampeni hiyo ya "Blazing Farnaces" ina nguvu, aliekuwa raisi Von van Thuong mwezi march mwaka huu alijiuzulu nafasi yake baada ya kugundulika kuwa nae ni mshiriki wa ufisadi na upigaji.

Katika kipindi cha miaka mitatu maraisi wawili wa Vietnam wamejiuzulu kwasababu ya kunyamazia ufisadi unofanywa na watu wa chini, maofisa wa serikali, mabenki pamoja na wafanyabiashara.

Kampeni iloanzishwa na bwana Trong yaonyesha yaweza kufanya kazi pale inaposimamiwa kikamilifu na viongozi badała ya kusitishwa au kufia njiani ambapo nchi inakuwa haiendelei au kutoona maendeleo yoyote ya kiuchumi.

Nao mfumo wa Kleptokrasia ambao hutumiwa na viongozi mafisadi inaonyesha kuwa waweza kudhibitiwa na kuondolewa pale tu umakini na ufuatiliaji unapopewa kipaumbele na kiongozi na timu yake badała ya kuuachia uote mizizi.

Vyanzo vilotumika: Reuters, VN Express. Corruption watch na AP.
Wenye akili kubwa, hapa kwetu, mwizi/jizi kuu ni raisi,ndio maana wanaweza Mambo Yao, Halotel ni kampuni Yao kama Ttcl yetu, imeanzishwa 2010,ila Ina mafanikio kuliko Ttcl ya tangu 1960
 
Akirejesha fedha kifungo kitabadilishwa na kuwa Maisha Jela.
 
Hii taarifa niliiona jana asubuhi.

Nikawa nasema na Mke wangu hivi Tanzania mtu aliyeweza kuiba pesa yenye thamani ya $44 Bilioni anaweza kweli kukamatwa.

Kiuhalisia kuna michezo ya kisiasa katika hii kesi ya huyu bibie.

Ni pesa nyingi sana ameiba na kufuja kwa muda mrefu.
Mkuu, uhalisia hapo ni upigaji khasa.

Kama nilivyoelezea huyu mwanamke kapiga kwa miaka 10, 2012 hadi 2022.

Na alifanikiwa kwa kuwa ni lazima angekula na vigogo wa benki, watu wa mapato na maofisa wa serikali.

Huo ndo upigaji.
 
Back
Top Bottom