Vifaa muhimu kwenye hardware

Vifaa muhimu kwenye hardware

dudumizi09

Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
76
Reaction score
120
Habari wakuu

Samahani sana Mimi nina mtaji mdogo wa 5m
Ila nahitaji ni fungue hardware itakayo kuwa na vifaa vidogo vidogo vitakavyo endana na bajeti yangu

Naomba kama kuna mtu yoyote mwenye list ya vifaa vya hardware anitumie ili inisaidie kufanya tathimini

Lengo ni kuanza na bajeti ya 5m, kama kuna mtu aliwahi kuanza na mtaji mdogo kama huu naomba anisaidie mawazo
Asanteni.
 
Habari wakuu

Samahani sana Mimi nina mtaji mdogo wa 5m
Ila nahitaji ni fungue hardware itakayo kuwa na vifaa vidogo vidogo vitakavyo endana na bajeti yangu

Naomba kama kuna mtu yoyote mwenye list ya vifaa vya hardware anitumie ili inisaidie kufanya tathimini

Lengo ni kuanza na bajeti ya 5m, kama kuna mtu aliwahi kuanza na mtaji mdogo kama huu naomba anisaidie mawazo
Asanteni.
Kwa mtaji huo ukianzisha hiyo ''biashara'' halafu ikifeli unaweza kukimbilia kwa mganga kuwa umelogwa? Mambo mengine ni kujitakia stress tu.
 
Kwa mtaji huo ukianzisha hiyo ''biashara'' halafu ikifeli unaweza kukimbilia kwa mganga kuwa umelogwa? Mambo mengine ni kujitakia stress tu.
Mkuu, hata akiwa na mtaji mkubwa hakumhakikishii kufanikiwa, na kuwa na mtaji mdogo si sababu ya kushindwa.

Inawezekana ana mawazo yatakayomsaidia kuikuza hiyo 5m hadi iwe mamilioni mengi ya fedha.

Mtie tu moyo. Bila shaka anajua anachokifanya.
 
Mkuu, hata akiwa na mtaji hakumhakikishii kufanikiwa, na kuwa na mtaji mdogo si sababu ya kushindwa.

Inawezekana ana mawazo yatakayomsaidia kuikuza hiyo 5m hadi iwe mamilioni mengi ya fedha.

Mtie tu moyo. Bila shaka anajua anachokifanya.
Nakaubaliana na wewe kwa silimia zote mkuu. Ila mil 5 kwa hardware sijui... utauza kitu gani ili upate faida ya kulipia frem (kama siyo yako), leseni na mfanyakazi? Pengine wazo zuri angeulizia kwanza kama anaweza kuchukuwa mali kauli, au afanye kitu kingine mtaji uongezeka kwanza. Mimi nadhani kwenye biashara ndogo ndogo, anaweza kupata faida zaidi kuliko harware, halafu baadae ndiyo aingie huko...
 
Nakaubaliana na wewe kwa silimia zote mkuu. Ila mil 5 kwa hardware sijui... utauza kitu gani ili upate faida ya kulipia frem (kama siyo yako), leseni na mfanyakazi? Pengine wazo zuri angeulizia kwanza kama anaweza kuchukuwa mali kauli, au afanye kitu kingine mtaji uongezeka kwanza. Mimi nadhani kwenye biashara ndogo ndogo, anaweza kupata faida zaidi kuliko harware, halafu baadae ndiyo aingie huko...
Asante mkuu kwa ushauri wako
Je wewe una experience ya hii biashara
 
Nakaubaliana na wewe kwa silimia zote mkuu. Ila mil 5 kwa hardware sijui... utauza kitu gani ili upate faida ya kulipia frem (kama siyo yako), leseni na mfanyakazi? Pengine wazo zuri angeulizia kwanza kama anaweza kuchukuwa mali kauli, au afanye kitu kingine mtaji uongezeka kwanza. Mimi nadhani kwenye biashara ndogo ndogo, anaweza kupata faida zaidi kuliko harware, halafu baadae ndiyo aingie huko...
Mkuu umeliona hilo? "Mali kauli!" Mpaka hapo umeshamwongezea wazo jingine. Ni juu yake sasa kuangalia jinsi ya kupata mzigo kwa mali kauli.
 
Laiti Ningepata Mtu Akanipa list bidhaa ingenisaidia sana kufanya tathimini
 
Ushauri hakuna mtaji mdogo wala mkubwa 5milion inatosha, angalia location nzuri uuze Cement, misumari, na nondo plus square boxes.......kuna aina nyingi ya hii business.

Mwingine anauza rangi tu, mwingine anauza tails tu....
Mwingine bawaba na vitasa vya milango.
Kila mtu na style yake.
Mwingine anauza buti, safety boots, gloves, nguo za site, reflector, nyundo, mikasi, helement, wheelbarrow, rakes, jembe, chepe,n.k. na zote ni pesa tupu......kwa mimi naona ni wewe uamue tu.

Au uza vifaa vya umeme kazi ni kwako kuchagua.
 
Ushauri hakuna mtaji mdogo wala mkubwa 5milion inatosha, angalia location nzuri uuze Cement, misumari, na nondo plus square boxes.......kuna aina nyingi ya hii business.

Mwingine anauza rangi tu, mwingine anauza tails tu....
Mwingine bawaba na vitasa vya milango.
Kila mtu na style yake.
Mwingine anauza buti, safety boots, gloves, nguo za site, reflector, nyundo, mikasi, helement, wheelbarrow, rakes, jembe, chepe,n.k. na zote ni pesa tupu......kwa mimi naona ni wewe uamue tu.

Au uza vifaa vya umeme kazi ni kwako kuchagua.
Asante sana mkuu nitafanyia kazi ushauri wako
 
Kwa mtaji huo ukianzisha hiyo ''biashara'' halafu ikifeli unaweza kukimbilia kwa mganga kuwa umelogwa? Mambo mengine ni kujitakia stress tu.
Hapana sio kweli usimkatishe tamaa iyo pesa ni nyingi sana inategemea yupo mkoa gani upatikanaji wa bidhaa upoje pia anaweza akaanza na cement,misumari pmj na nondo2 naakapiga kazi
 
Back
Top Bottom