Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,622
- 4,100
Hela yote nunua cement ndio iwe biashara yako komaa nayo ,endelea na cement mpaka mtaji wa 50 million kisha unauza cement na nondo za aina zote unapiga kazi mpaka ufike 100 unaweka cement ,nondo ,gypsam ,bati na vifungashio vyao.Nina hardware chukua ushauri ni bure.Habari wakuu
Samahani sana Mimi nina mtaji mdogo wa 5m
Ila nahitaji ni fungue hardware itakayo kuwa na vifaa vidogo vidogo vitakavyo endana na bajeti yangu
Naomba kama kuna mtu yoyote mwenye list ya vifaa vya hardware anitumie ili inisaidie kufanya tathimini
Lengo ni kuanza na bajeti ya 5m, kama kuna mtu aliwahi kuanza na mtaji mdogo kama huu naomba anisaidie mawazo
Asanteni.