TAJIRI MSOMI
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 496
- 515
Asante sana mkuu, karibu unipatie hio orodhaMaabara ntakupa detail full
Asante sana mkuu, ni hivyo tu basi?Kama itakuwa attached na dispensary basi iwe na vyumba v2 .
VIFAA
Darubin -original 1.2m Mchina lak7.5
Glucometer-45elfu
Hb muchine- 3lak
Vingne ni vdgo vdgo na costs yake ni ndgo mtu wa lab atakuelekeza. Kwenye usajili lazm uwe na chet na lesen ya expart wa lab (certificate level)
Asante sana mkuu, ni hivyo tu basi?
Asante sana mkuuMain ni hivyo tu. Kwa kijijin inatosha waana
lazima uwe na spana size zote, skruu draiva seti moja, maltimita, said kata na plaiz
lazima uwe na spana size zote, skruu draiva seti moja, maltimita, said kata na plaiz
Mhh hivyo si vya mafundi mkuu, plz nipo serious kama unafaham vifaa tiba ambavyo ni vya msingi sana kuwepo kwenye zahanati nisaidie tuwasaidie wananchilazima uwe na spana size zote, skruu draiva seti moja, maltimita, said kata na plaiz
Asante mkuu, but nahitaji orodha kwanza inayotoshereza zahanate ndipo niweze kufikiria kununuaMm nauza vifaa vya maabara, kemikali na "reagents"km utahitaji price list nichek kwa namb 0717 550291 au 0745 396264
yeah na bei zakeKwahyo unahitaj orodha??
mmh nataka vile vya msingi kabsa,vile vyenye umhimu mkubwa sana kuwepo hasa kwenye zahanati za vijijini, nahitaji vifaa tiba tuMbna vipo vingi sana....