brightoscar
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 369
- 543
Habari wadau nimeleta mzigo wa vifaa vya Ford Ranger na Puma Landrover.
Baada ya kuona Ford Ranger zinavyosumbua hasa mfumo wa Mafuta niliona ni business opportunity na kuagiza mzigo Uturuki.
Nina nozzles mpya kabisa, injector pump mpya kabisa pia Turbo ya 2.2 na 3.2 zote ni mpya kwa anayehitaji ni pm bei ni za chini sana huwezi kupata popote Tanzania kwa bei nazotoa karibuni.
Baada ya kuona Ford Ranger zinavyosumbua hasa mfumo wa Mafuta niliona ni business opportunity na kuagiza mzigo Uturuki.
Nina nozzles mpya kabisa, injector pump mpya kabisa pia Turbo ya 2.2 na 3.2 zote ni mpya kwa anayehitaji ni pm bei ni za chini sana huwezi kupata popote Tanzania kwa bei nazotoa karibuni.