INAUZWA Vifaa vya jiko la baa vinauzwa

INAUZWA Vifaa vya jiko la baa vinauzwa

Hivyo vitu vipo marekani?? Maana wa bongo hamjui kunadi biashara zenu

Anway hilo jiko la nyama(oven ya kienyeji) bei gani
 
Hivyo vitu vipo marekani?? Maana wa bongo hamjui kunadi biashara zenu

Anway hilo jiko la nyama(oven ya kienyeji) bei gani
190 mjomba ,jipya 300,..lina mwez tuu,..vipo goba dsm
 
Ni PM kwa mahitaj,..

Bila picha itakua haina maana.
8541a2322ba02c5a7ed7facdb2d722ac.jpg
68fc0f9caf4f7d389deed8ec94121eb7.jpg
79ce38a800e9dcbe472368edb844ac43.jpg
d507f8ae3797b412caf98988a4045af9.jpg
Unapatikana mitaa gani
 
Dagaa siyo chakula rahisi. Hivi bei ya dagaa kilo ni shs ngapi kwa sasa??!

Mkuu itakua haya mambo ya kula dagaa na nyanya chungu plus bamia yamekupita pembeni

Dagaa huku uswahilini zinapimwa kwa mafungu ya mia tatu hadi mia tano
 
Back
Top Bottom