fablo can
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,223
- 1,267
Ni kweli Eclat ila tunapokuwa n.a. pesa tunasahau Kula mboga hizi n.a. kujaza nyama kwenye frdge hadi inaoza.Mkuu lakini hivi vyakula vinaimarisha afya ya mwili. Nyama ni full magonjwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Eclat ila tunapokuwa n.a. pesa tunasahau Kula mboga hizi n.a. kujaza nyama kwenye frdge hadi inaoza.Mkuu lakini hivi vyakula vinaimarisha afya ya mwili. Nyama ni full magonjwa
170 unachkua ,hali ni mbaya mjomba,ntashindwa kufanya mamboJiko LA kufunika 150000
TunapambanaShikamooo mwalimu baba Jesca!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Magufuli amebana Kila idara, watu wamerudi kwa wake zao Kula chakula cha boarding, ugali maharage no more out lunch and dinner. Michepuko imepigwa vibuti
190 mjomba ,jipya 300,..lina mwez tuu,..vipo goba dsmHivyo vitu vipo marekani?? Maana wa bongo hamjui kunadi biashara zenu
Anway hilo jiko la nyama(oven ya kienyeji) bei gani
Je na jiko vyote kiasi gan?Mtung na pipe yake,na kile ki regulator let me add up,mtungi 50,regulator elf 10,na pipe elf5,so lete 65 mjomba,..nakupa uwanja wa kujitetea hapo
[emoji23][emoji23][emoji23]Magufuli amebana Kila idara, watu wamerudi kwa wake zao Kula chakula cha boarding, ugali maharage no more out lunch and dinner. Michepuko imepigwa vibuti
Unapatikana mitaa ganiNi PM kwa mahitaj,..
Bila picha itakua haina maana.![]()
![]()
![]()
![]()
Na jiko 135Je na jiko vyote kiasi gan?
Nipo goba mjombaUnapatikana mitaa gani
Dagaa siyo chakula rahisi. Hivi bei ya dagaa kilo ni shs ngapi kwa sasa??!
Vip na hilo eneo limeshachukuriwa kwa biashara?Na jiko 135
Mku hili jiko kubwa lenye mfuniko ni bei ganiNi PM kwa mahitaj,..
Bila picha itakua haina maana.![]()
![]()
![]()
![]()
Nishauza mjombaMku hili jiko kubwa lenye mfuniko ni bei gani