INAUZWA Vifaa vya saluni ya kike vinauzwa maelewano yapo

INAUZWA Vifaa vya saluni ya kike vinauzwa maelewano yapo

It's big business

Mbona umeghairi maana huo sawa tu na mgodi.

Uko mkoa gani ?
 
Bei zimesimama

Hapo kwenye rangi za gel
Means unauza kila rangi 10,000

Na mashine 100,000?
Duh[emoji849]
 
Duh!! Kumbe hii business inahitaji mtaji mkubwa kiasi hicho?
Nilifikiri nikiwa na kodi pamoja na laki tano naweza fungua saloon ya kike!

Kikubwa tumshukuru Rais [emoji23][emoji23]
 
280,000
230,000
120,000
120,000
150,000
50,000
700,000
180,000
300,000
400,000
100,000
400,000
250,000
Total 3,280,000 uwekezaji wahitaji mtajii
 
Ukikosa mnunuzi hama navyo Dodoma, utafute sehemu itakulipa tuu,Mimi nipo Dodoma
 
Uza vyote at 40% of original price kijana. Hizo bei hupati mteja
 
Back
Top Bottom