Vifaa vya sonara

Consolata2000

Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
40
Reaction score
4
Mambozz

Kuna kifaa cha masonara hukitimia kuyeyushia dhahabu na madini mengine. Kifaa kama hicho inauzwa wapi na kwa bei gani? Kwa wenye uelewa wa usonara mnakaribishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…