Consolata2000
Member
- Apr 13, 2013
- 40
- 4
Mambozz
Kuna kifaa cha masonara hukitimia kuyeyushia dhahabu na madini mengine. Kifaa kama hicho inauzwa wapi na kwa bei gani? Kwa wenye uelewa wa usonara mnakaribishwa
Kuna kifaa cha masonara hukitimia kuyeyushia dhahabu na madini mengine. Kifaa kama hicho inauzwa wapi na kwa bei gani? Kwa wenye uelewa wa usonara mnakaribishwa