Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani interchick si vipo, weka odaKama mnaulizia fomula Ina maana mna connection ya vifaranga , tusaidiane Basi wakuu nikipata 500 tu itapendeza
Mkuu interchiki nimepiga simu Jana tu wakasema nilipie 40% kuvipata Hadi 08/11/2021 Sasa pesa niliyonayo siwezi kuiweka huko kwa almost nusu mwaka huo na pia kwa muda huo nitaishije?Kwani interchick si vipo, weka oda
Dah sijajua kwanini siku hizi oda inakuwa ndefu kiasi hicho, sijui wafugaji wengi au Nini kimetokea,Mkuu interchiki nimepiga simu Jana tu wakasema nilipie 40% kuvipata Hadi 08/11/2021 Sasa pesa niliyonayo siwezi kuiweka huko kwa almost nusu mwaka huo na pia kwa muda huo nitaishije?
Raha ya kufuga ulipia walau week moja upate mzigo
Umeenda interchick....Kama Kuna mtu anajua nawezaje kupata vifaranga kwa 1800 au 2000 anisaidie nisuru mtaji wangu maana gharama za maisha hazisubiri hata kidogo
Asante Sana
Sliverland wanasema hawana kabisa ila animal Care wanasema Hadi September na hachukue pesa Wala hawachukua odaDah sijajua kwanini siku hizi oda inakuwa ndefu kiasi hicho, sijui wafugaji wengi au Nini kimetokea,
Vip kuhusu silver land?
Dah, hatari mi nilikuwa nafuga hao kuku ila nimepumzika tangu mwaka janaSliverland wanasema hawana kabisa ila animal Care wanasema Hadi September na hachukue pesa Wala hawachukua oda
Kaka sisi wengine tunakubali maumivu ya 2300/= bora faida ndogo lakini mzunguko uwepo, hata hivyo hupati baada ya wiki mara nyengine hata wiki tatu, na ndio maana tunajaribu kutafuta option ya kutengeza chakula wenyewe ili kujaribu kunyanyua profit, hamna chengine, sijui hawa wazalishaji wamebana wapi!Kama mnaulizia fomula Ina maana mna connection ya vifaranga , tusaidiane Basi wakuu nikipata 500 tu itapendeza
Nimeweka machotara japo sio mengi ila nataka niagize kuku wa kienyeji toka singida nijaribu na hilo piaKwa hiyo unafuga Nini Sasa
Chotara hata Mimi nishafuga ila sikuona faida maana hawezi kujihudumia na kutoa faida labda usingoje watage ,ulishe wakifika miezi 5 uuze uanze TenaNi
Nimeweka machotara japo sio mengi ila nataka niagize kuku wa kienyeji toka singida nijaribu na hilo pia
Tunaomba hiyo fomula ya chakula tafadhaliChakula chako mwenyewe sio lazima utengeneze pellets,kuna mama jirani yangu anatengeneza mwenyewe,na kuku wanakuwa fresh kabisa.
tafuta 2200 njoo nikuuzie wangu pc mia 4 tarehe 1Kama Kuna mtu anajua nawezaje kupata vifaranga kwa 1800 au 2000 anisaidie nisuru mtaji wangu maana gharama za maisha hazisubiri hata kidogo
Asante Sana
interchikNafuga Mia tano mkuu je Ni wa kampuni gani?
Mie pia kuwapata tu ni ishu! Bei iko juuUfugaji wa broiler siku hizi hauna faida kama zamani, vifaranga wamepanda sana Bei na vyakula vyake ndo usiseme
Hawauzi kwa watu wasioeleweka! Labda uende kama kampuni kwenye utaratibu maalum nao!Kwani interchick si vipo, weka oda