AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,646
- 2,378
Wasiwasi wangu ni je vifaranga watakaopatikana kwa njia hii je watakuwa bora kama mama zao, maana ni muda mrefu kulea parents mpaka waanze kutoa mazao.Uko sahihi kabisa mkuu,ni kweli broiler anaweza akataga
Genetically haiwezekani.Baada ya kufuatilia kwa baadhi ya wajuzi wanasema broiler akitunzwa vizuri mpaka kufikia miezi 5/6 anaweza kutaga mayai ambayo akiwekwa na dume yanaweza kuanguliwa na vikapatikana vifaranga vya broiler, mi naona huku twendako tutazalisha vifaranga na chakula tutatengeneza wenyewe, au nasema uongo ndugu zangu!, tujitegemee tuachane na utegemezi.......in mzee voice.
Tuko wengi mkuu tunaohitaji hiyo elimu, usitusahau.Ngoja nikutafutie namba yake mkuu
Mkuu, inawezekana ila ubora wa kifaranga unashuka sana. Tatizo lipo hapoGenetically haiwezekani.
Hao broiler wenyewe Wana wazazi wanaitwa (parent stock)
Ni kwa namna gani tunaweza boresha ubora atleast afikie nusu ya ubora kamili kutoka kiwandani, ukimudu hili tu utakuwa umepiga hatua kubwa sana.Mkuu, inawezekana ila ubora wa kifaranga unashuka sana. Tatizo lipo hapo
Unachoshwa na ajira unaamua kufuga broilar???Wakuu salaam Sana,
Baada ya kuchoshwa na ajira nikaamua nirekebishe maBanda nianze kufuga Hawa kuku wa week nne (broilers) ila Sasa nimekuja kukwama baada ya kusaka vigaranga bila mafanikio na kuna makampuni ukiwapigia wanakuambia hawana vifaranga ila utasikia siku flani wameuza Sasa siajua wanatumia upendeleo gani?
Na baadhi ya wafugaji wanasema wananunua kwa bei ya juu tofauti na bei ya kampuni wanavyouza.
Kingine Cha kushangaza Bei nayo ya chakula imepanda sana, sasa najiuliza serekali inavyotuambia tujiajiri inakuwa na maana gani ? Kila siku wanaongeza tozo tu bila kuangalia athari.
Nadhani wameruhusu vile vya wazazi, ambao ndiyo watazalishwa ili wapatikane hao wa kufuga. mambo ni mengi muda ni mchacheMe nasema kama bongo tumeshindwa kuzalisha vifaranga,bora waruhusu vitoke nje watu tupige biashara
Kama kweli wamefanya hivyo ni bora sanaNadhani wameruhusu vile vya wazazi, ambao ndiyo watazalishwa ili wapatikane hao wa kufuga. mambo ni mengi muda ni mchache
Safi sana mkuu kila la heri katika kilimo cha mifugoSitaki kuajiriwa mkuu
Hapa Nina fuga hao broiler banch za 500 currently zipo 2 bandani
Nina ngombe wa maziwa
Nimeanza na mradi wa nguruwe
Ajira nimeicha December 2020
Mfumuko wa Bei upo juu kwenye kila bidhaa sijui kwasababu gani alafu Ni ghafla sanaBei ya chakula kila siku inapandaView attachment 1843297
Sasa hawa jamaa wanataka tuwafugie wao ndo wapate faida.Mfumuko wa Bei upo juu kwenye kila bidhaa sijui kwasababu gani alafu Ni ghafla sana
Kama ni hivyo chukua chotara wa nyama.Mkuu, inawezekana ila ubora wa kifaranga unashuka sana. Tatizo lipo hapo
Kashiba ugimbi huyo wala haelewe alichokisemaMkuu ameuliza wa broiler, broiler wapi utapata yai lake?
Sahau hii mzeeeBaada ya kufuatilia kwa baadhi ya wajuzi wanasema broiler akitunzwa vizuri mpaka kufikia miezi 5/6 anaweza kutaga mayai ambayo akiwekwa na dume yanaweza kuanguliwa na vikapatikana vifaranga vya broiler, mi naona huku twendako tutazalisha vifaranga na chakula tutatengeneza wenyewe, au nasema uongo ndugu zangu!, tujitegemee tuachane na utegemezi.......in mzee voice.
mkuza jamani wapo bei 1900Mkuu interchiki nimepiga simu Jana tu wakasema nilipie 40% kuvipata Hadi 08/11/2021 Sasa pesa niliyonayo siwezi kuiweka huko kwa almost nusu mwaka huo na pia kwa muda huo nitaishije?
Raha ya kufuga ulipia walau week moja upate mzigo
Mkuu huu Uzi ni wa Mwaka jana wakati kuna uhaba wa vifaranga, saiz hakuna mtu anahangaika na upatikanaji wa vifaranga maana ni wengi sana hadi bei inashuka kila sikumkuza jamani wapo bei 1900
Mpk 1500 Kwa kibomkuza broiler 1900