Vifaranga Vya Kuchi...

Kuna kanambia ukiwa na Kuchi, banks wanakufata Wenyewe wakupe mkopo.
 
Kiukweli haya Majukwaa huwa hayatendewi haki
Na hii inatokana na Uhuru wa ku comment
Yani bila ya hivyo basi humu jf tungefaidika sana

Kwa mfano
Kuku aina ya Kuchi wana Soko kubwa sana na Wana aina ( Mbegu) tofauti kuchi org ana kwenda mpaka Tsh Laki Tano
Wako mbegu ya Kijapani wanauzwa mpaka Milion moja
Pia kuna Wenye Midomo kama Kasuku nao Wana bei sana
Halafu kuna Kuchi Chotara ambao ndo wako wengi kwa wafugaj

Ttz jambo usilo lijua ni Usiku wa giza Na unaweza bisha huku Ukijifungia mwenyewe Fursa ambayo ilitaka kufunguka kwako
 
Huyo kuku akifa si unaweza weka msiba na majirani wakaja kukupa pole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…