synthesizere JF-Expert Member Joined Dec 22, 2019 Posts 878 Reaction score 1,255 Oct 24, 2022 #1 Habari za wakati huu Nahitaji kujua wapi nitapata vifaranga bora vya kuku wa nyama (broiler) kwa maeneo ya Dar au Pwani na bei zao zikoje. Nikipata mawasiliano itakua nzuri zaidi.
Habari za wakati huu Nahitaji kujua wapi nitapata vifaranga bora vya kuku wa nyama (broiler) kwa maeneo ya Dar au Pwani na bei zao zikoje. Nikipata mawasiliano itakua nzuri zaidi.
Samcezar JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 13,095 Reaction score 22,731 Oct 24, 2022 #2 Wanakuja Sent using Jamii Forums mobile app
M Maghayo JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 20,307 Reaction score 47,210 Oct 24, 2022 #3 Samcezar said: Wanakuja Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Muulize Msingida
Jack HD JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 851 Reaction score 1,168 Oct 26, 2022 #4 synthesizere said: Habari za wakati huu Nahitaji kujua wapi nitapata vifaranga bora vya kuku wa nyama (broiler) kwa maeneo ya Dar au Pwani na bei zao zikoje. Nikipata mawasiliano itakua nzuri zaidi. Click to expand... Nicheki 0717810141 Bei ni 2100 kwa sasa.
synthesizere said: Habari za wakati huu Nahitaji kujua wapi nitapata vifaranga bora vya kuku wa nyama (broiler) kwa maeneo ya Dar au Pwani na bei zao zikoje. Nikipata mawasiliano itakua nzuri zaidi. Click to expand... Nicheki 0717810141 Bei ni 2100 kwa sasa.