Vifaranga vya machotara

Vifaranga vya machotara

Englishlady

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
2,736
Reaction score
3,644
Wapendwa wajasiriamali habari zenyu!

Nimeamua kufuga kuku na nimetamani kufuga machotara wa malawi na kuchi, tafadhlini naomba msaada wa kupata vifaranga bora kwaajili ya ujasiriamali nipo dar nafanya ufugaji maeneo ya mbezi ya kimara. Nataka kuanza na kuku 400.

Nitashukuru nikipata ushauri pia.
 
Wapendwa wajasiriamali habari zenyu!

Nimeamua kufuga kuku na nimetamani kufuga machotara wa malawi na kuchi, tafadhlini naomba msaada wa kupata vifaranga bora kwaajili ya ujasiriamali nipo dar nafanya ufugaji maeneo ya mbezi ya kimara. Nataka kuanza na kuku 400.

Nitashukuru nikipata ushauri pia.

Sijajua hao Kuku wa Malawi watu wanawapendea nini, ni kuku wa kawaida sana tena mno, hawana ubora wa aina yoyote ile, au ni kwa sababau hakuna altenative?

Ok ni hivi, Kuku hao kwanza si Wa Malawi, Bali ni kuku australorp kutoka Australia ndo walicrosiwa na kuku wa Kineyeji na wakapatinana kuku hao weuzi.

KWA NINI WANAITWA WA MALAWI?
-Huenda mtu/watu wa kwanza kuwaingiza waliwachukua huko Malawi, ila ukweli ni kwamba si wamalawi na kuna wenzetu wanatushangaa kuwaita kuku wa malawi.

KWA NINI HAWANA UBORA KWA SASA?
-Hawa kuku mimi nilikuwa nao zaidi ya 300 ila nimeamua kuchin ja wote waishe, na sababu kubwa sana kwenye hawa kuku wa malawi ni kwamba, ubora wake haupo tena,

Hawa kuku waliko Tanzania kwa sasa ni kizazi cha si chini ya 50 F50, Hii katika na hakuna mfugaji hata mmoja mwenye kuku origino wa australorp, hakuna na kama yupo aseme amewapata wapi.

Hawa kuku wameathiriwa na kitu kinaitwa INBREEDING, hiki ni kitendo cha kuku/mnyama kuanza kuzaliana wao kwa wao yaani Jogoo anampanda mama yake/mtoto wake au jogoo anampanda Dada yake na kazalika, Hii huharibu ubora wa breed moja kwa moja, na hili watu hawaliangalii.

KUPATA KUKU BORA WA australorp.

Ili uweze kupata kuku bora ni lazima uagize majogoo wa AUSTRALORP kutoka nje ya nchi ambapo najua kwa Tanzania hakuna, na unaweza yapata South Africa kwa hapa jirani na hata Kenya hawapo kabisa na hawataki kuwafuga.

KUTAMBUA KUKU ORIGINO AU KWAMBA NI KIZAZI CHA NGAPI.

Hili haliwezi fanywa kwa macho kamwe, na watu wamekuwa wakiuza majogoo wa kawaida wa sijui Malawi na kuwaambia wtu ni majogoo ya mbegu ya australorp, Ni kwenye Maabara pekee kupitia DNA ndo unaweza tambua kizazi cha kuku husika.

HIVYO MNAO FUGA ZINGATIENI SANA SWALA LA INBREEDING NA HILI SI KWA HAWA KUKU WEUSI TU BALI NA HAO WENGINE.

Na Jogoo wa Mbegu wa kufanyia CROSING ni lazima awe origino kabisa na si kuchukua jogoo kachoka na kumfanya ndo wa mbegu hapo huwezi pata kuku bora bali utapata.
 
Sijajua hao Kuku wa Malawi watu wanawapendea nini, ni kuku wa kawaida sana tena mno, hawana ubora wa aina yoyote ile, au ni kwa sababau hakuna altenative?

Ok ni hivi, Kuku hao kwanza si Wa Malawi, Bali ni kuku australorp kutoka Australia ndo walicrosiwa na kuku wa Kineyeji na wakapatinana kuku hao weuzi.

KWA NINI WANAITWA WA MALAWI?





-Huenda mtu/watu wa kwanza kuwaingiza waliwachukua huko Malawi, ila ukweli ni kwamba si wamalawi na kuna wenzetu wanatushangaa kuwaita kuku wa malawi.

KWA NINI HAWANA UBORA KWA SASA?

-Hawa kuku mimi nilikuwa nao zaidi ya 300 ila nimeamua kuchin ja wote waishe, na sababu kubwa sana kwenye hawa kuku wa malawi ni kwamba, ubora wake haupo tena,

Hawa kuku waliko Tanzania kwa sasa ni kizazi cha si chini ya 50 F50, Hii katika na hakuna mfugaji hata mmoja mwenye kuku origino wa australorp, hakuna na kama yupo aseme amewapata wapi.





Hawa kuku wameathiriwa na kitu kinaitwa INBREEDING, hiki ni kitendo cha kuku/mnyama kuanza kuzaliana wao kwa wao yaani Jogoo anampanda mama yake/mtoto wake au jogoo anampanda Dada yake na kazalika, Hii huharibu ubora wa breed moja kwa moja, na hili watu hawaliangalii.

KUPATA KUKU BORA WA australorp.

Ili uweze kupata kuku bora ni lazima uagize majogoo wa AUSTRALORP kutoka nje ya nchi ambapo najua kwa Tanzania hakuna, na unaweza yapata South Africa kwa hapa jirani na hata Kenya hawapo kabisa na hawataki kuwafuga

KUTAMBUA KUKU ORIGINO AU KWAMBA NI KIZAZI CHA NGAPI.

Hili haliwezi fanywa kwa macho kamwe, na watu wamekuwa wakiuza majogoo wa kawaida wa sijui Malawi na kuwaambia wtu ni majogoo ya mbegu ya australorp, Ni kwenye Maabara pekee kupitia DNA ndo unaweza tambua kizazi cha kuku husika.


HIVYO MNAO FUGA ZINGATIENI SANA SWALA LA INBREEDING NA HILI SI KWA HAWA KUKU WEUSI TU BALI NA HAO WENGINE.

Na Jogoo wa Mbegu wa kufanyia CROSING ni lazima awe origino kabisa na si kuchukua jogoo kachoka na

kumfanya ndo wa mbegu hapo huwezi pata kuku bora bali utapata.




Sasa wanishauri nini? Nataka kufuga, nifuge nini ili nipate faida kubwa.
 
Nimefuga jogoo wa chotara ninawauza sasa wamefikia miezi 6ni mbegu nzuri napim nikuletee mimi naishi moshi msaranga
 
Sasa wanishauri nini? Nataka kufuga, nifuge nini ili nipate faida kubwa.

Ni wewe tu, ila kikubwa nimekueleza hali ilivyo,, nimeeleza swala zima la Inbreeding linavyo asili ubora wa Kuku, Kuku kama wa Malawi wamethiriwa na hilo, Na unaweza waona ni wazuri kwa sababu hujakutana breddd zingine ambazo ni bora zaidi,

Na ukifuga ili uapte faida kubwa unaweza jikuta unakata tamaa mapema wewe fuga na fuata kanunuzi za kufuga, faida ni matokeo ya kazi yako na utakapo kuwa na breeds nzuri ni lazima watu wakubali kazi yako
 
Wapendwa wajasiriamali habari zenyu!

Nimeamua kufuga kuku na nimetamani kufuga machotara wa malawi na kuchi, tafadhlini naomba msaada wa kupata vifaranga bora kwaajili ya ujasiriamali nipo dar nafanya ufugaji maeneo ya mbezi ya kimara. Nataka kuanza na kuku 400.

Nitashukuru nikipata ushauri pia.

Nenda pale ruvu jeshini ila unatoa oda then wanakuandalia idadi ya vifaranga unaowataka!wana Kuku wa aina nyingi including wa Malawi.
 
Ni wewe tu, ila kikubwa nimekueleza hali ilivyo,, nimeeleza swala zima la Inbreeding linavyo asili ubora wa Kuku, Kuku kama wa Malawi wamethiriwa na hilo, Na unaweza waona ni wazuri kwa sababu hujakutana breddd zingine ambazo ni bora zaidi,

Na ukifuga ili uapte faida kubwa unaweza jikuta unakata tamaa mapema wewe fuga na fuata kanunuzi za kufuga, faida ni matokeo ya kazi yako na utakapo kuwa na breeds nzuri ni lazima watu wakubali kazi yako

Umenambia hakuna kuku wa malawi oroginal hawa walipo ni feki, nisaidie nifuge aina ipi?
 
Umenambia hakuna kuku wa malawi oroginal hawa walipo ni feki, nisaidie nifuge aina ipi?

Si kwamba ni feki, na elewa hao kuku si Wa Malawi nazani umeelewa, Na nimesema hii breed imeathiriwa kwa kiwango kikuwa na In breeding na hakuna mfugaji anaye zingatia hilo kina angaliwa ni pesa tu, na hakuna mnunuzi anaye angalia hilo,

Labda tuwasiliane nikufanyie mpango wa Kenbro one of the best breed au Dorep, Au KARI,
 
kama upo dara es salaam ninao vifaranga chotara vya iku moja na vimechanjwa marex bei sh 1,700... kama upo interested ni PM
 
Sijajua hao Kuku wa Malawi watu wanawapendea nini, ni kuku wa kawaida sana tena mno, hawana ubora wa aina yoyote ile, au ni kwa sababau hakuna altenative?
Ok ni hivi, Kuku hao kwanza si Wa Malawi, Bali ni kuku australorp kutoka Australia ndo walicrosiwa na kuku wa Kineyeji na wakapatinana kuku hao weuzi.

KWA NINI WANAITWA WA MALAWI?
-Huenda mtu/watu wa kwanza kuwaingiza waliwachukua huko Malawi, ila ukweli ni kwamba si wamalawi na kuna wenzetu wanatushangaa kuwaita kuku wa malawi.

KWA NINI HAWANA UBORA KWA SASA?
-Hawa kuku mimi nilikuwa nao zaidi ya 300 ila nimeamua kuchin ja wote waishe, na sababu kubwa sana kwenye hawa kuku wa malawi ni kwamba, ubora wake haupo tena,

Hawa kuku waliko Tanzania kwa sasa ni kizazi cha si chini ya 50 F50, Hii katika na hakuna mfugaji hata mmoja mwenye kuku origino wa australorp, hakuna na kama yupo aseme amewapata wapi.

Hawa kuku wameathiriwa na kitu kinaitwa INBREEDING, hiki ni kitendo cha kuku/mnyama kuanza kuzaliana wao kwa wao yaani Jogoo anampanda mama yake/mtoto wake au jogoo anampanda Dada yake na kazalika, Hii huharibu ubora wa breed moja kwa moja, na hili watu hawaliangalii.

KUPATA KUKU BORA WA australorp.

Ili uweze kupata kuku bora ni lazima uagize majogoo wa AUSTRALORP kutoka nje ya nchi ambapo najua kwa Tanzania hakuna, na unaweza yapata South Africa kwa hapa jirani na hata Kenya hawapo kabisa na hawataki kuwafuga.

KUTAMBUA KUKU ORIGINO AU KWAMBA NI KIZAZI CHA NGAPI.

Hili haliwezi fanywa kwa macho kamwe, na watu wamekuwa wakiuza majogoo wa kawaida wa sijui Malawi na kuwaambia wtu ni majogoo ya mbegu ya australorp, Ni kwenye Maabara pekee kupitia DNA ndo unaweza tambua kizazi cha kuku husika.

HIVYO MNAO FUGA ZINGATIENI SANA SWALA LA INBREEDING NA HILI SI KWA HAWA KUKU WEUSI TU BALI NA HAO WENGINE.

Na Jogoo wa Mbegu wa kufanyia CROSING ni lazima awe origino kabisa na si kuchukua jogoo kachoka na kumfanya ndo wa mbegu hapo huwezi pata kuku bora bali utapata.

mkuu kwenye hao kuku uliokuwa nao walikuwa wa nyama au wa mayai, na kwa nn uliamua kuchinja ?
 
ImageUploadedByJamiiForums1390139630.899766.jpgImageUploadedByJamiiForums1390139674.762113.jpg kuku wangu chotara nauza
 
Back
Top Bottom