Vifaru vya Merkava vimeshindwa kazi.Vile vya Abrams vya Marekani vyaingia mzigoni Gaza

Vifaru vya Merkava vimeshindwa kazi.Vile vya Abrams vya Marekani vyaingia mzigoni Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wale wapenzi wachache wa Israel wameona matokeo yasiyopendeza katika jeshi la Israel.Walitaraji baada ya siku mbili kuingia Gaza,kajioneo kadogo tu wangeona vikosi vya IDF vikiwa vimebeba mateka mabegani na kupiga nao picha ili kuwarudisha Israel na wale wa mataifa ya nje kupakiwa kwenye ndege kurudishwa makwao.

Kinyume na hivyo karibia mwezi sasa hakuna mateka aliyepatikana na hakuna picha ya Hamas aliyeuliwa.Badala yake IDF kwa hesabu yake imekiri kupoteza askari wake 23.akiwemo jenerali mmoja.Kwa mahesabu ya Hamas wameshaua askari wengi wa Israel na kuunguza vifaru kadhaa vya merkava.

Na la kufurahisha zaidi sasa wapenzi wa Israel nao wameungana na waungaji mkono wa Hamas kusikitika kwa namna jeshi la Israel lilivyobadILI malengo yake ghafla na kuanza kupiga hospitali,magari ya wagonjwa na shule,kitu kinachopelekea kuuliwa kwa watoto wengi.

Hasira hizo zinatokana na kuonekana kushindwa kazi kwa vile vifaru vya kusifika vya Israel aina ya Merkava ambavyo maana yake ni Ngome ya Mungu. Vifaru hivyo vimeonekana kupigika kirahisi na bunduki za kawaida za Hamas aina ya RPG na kwa kutumia mabomu mengine ya kudondoshwa na droni.

Matokeo hayo kwa mujibu wa vidio zinazorushwa kwenye mitandao ya kijamii ndiyo yaliyopelekea kuonekana aina mpya ya vifaru vya ghali sana vya kimarekani matoleo ya Abrams 1 na Abrams 2.Vifaru hivyo navyo kwa kuangalia vidio hizo navyo havijasalimika na vipigo vya bunduki za Hamas.
 
Wale wapenzi wachache wa Israel wameona matokeo yasiyopendeza katika jeshi la Israel.Walitaraji baada ya siku mbili kuingia Gaza,kajioneo kadogo tu wangeona vikosi vya IDF vikiwa vimebeba mateka mabegani na kupiga nao picha ili kuwarudisha Israel na wale wa mataifa ya nje kupakiwa kwenye ndege kurudishwa makwao.

Kinyume na hivyo karibia mwezi sasa hakuna mateka aliyepatikana na hakuna picha ya Hamas aliyeuliwa.Badala yake IDF kwa hesabu yake imekiri kupoteza askari wake 23.akiwemo jenerali mmoja.Kwa mahesabu ya Hamas wameshaua askari wengi wa Israel na kuunguza vifaru kadhaa vya merkava.

Na la kufurahisha zaidi sasa wapenzi wa Israel nao wameungana na waungaji mkono wa Hamas kusikitika kwa namna jeshi la Israel lilivyobadILI malengo yake ghafla na kuanza kupiga hospitali,magari ya wagonjwa na shule,kitu kinachopelekea kuuliwa kwa watoto wengi.

Hasira hizo zinatokana na kuonekana kushindwa kazi kwa vile vifaru vya kusifika vya Israel aina ya Merkava ambavyo maana yake ni Ngome ya Mungu. Vifaru hivyo vimeonekana kupigika kirahisi na bunduki za kawaida za Hamas aina ya RPG na kwa kutumia mabomu mengine ya kudondoshwa na droni.

Matokeo hayo kwa mujibu wa vidio zinazorushwa kwenye mitandao ya kijamii ndiyo yaliyopelekea kuonekana aina mpya ya vifaru vya ghali sana vya kimarekani matoleo ya Abrams 1 na Abrams 2.Vifaru hivyo navyo kwa kuangalia vidio hizo navyo havijasalimika na vipigo vya bunduki za Hamas.
Hao mabaradhuli LGBTQ watanyoshwa mpaka wakae sawa HAMAS imeithibitishia dunina KWAMBA ISRAEL ni yakawaida sana ukiondoa propaganda
IMG-20231103-WA0097.jpg
 
Propaganda kama kawaida kama zilezile za Mohammed Al Sahaf wa Iraq. Kwa hiyo magaidi wa Hamas wenyewe ni majini hawawezi kufa ila wananchi wao ndio wanakufa. Bure kabisa.
 
Hao mabaradhuli LGBTQ watanyoshwa mpaka wakae sawa HAMAS imeithibitishia dunina KWAMBA ISRAEL ni yakawaida sana ukiondoa propagandaView attachment 2803617
Umburula shida sana kwa maustaadh wengi, hivi Hamas ambao wamekimbilia shimoni, kuacha Gaza mikononi mwa IDF, wamefunulia Dunia nini?

Labda wamefunulia Dunia kwamba, ukivizia watoto, wazee na akina mama wa kiisraeli ndio udhaifu wa Israel hapo et🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kila siku tumechoka na misamiati yenu ya kijinga, lengo lenu si kuifuta Israel, sasa Hamas wamewafunulia kwamba Israel ni dhaifu, ebu iingieni sasa, mkaivamie mchukue na ardhi yenu, make ni dhaifu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wale wapenzi wachache wa Israel wameona matokeo yasiyopendeza katika jeshi la Israel.Walitaraji baada ya siku mbili kuingia Gaza,kajioneo kadogo tu wangeona vikosi vya IDF vikiwa vimebeba mateka mabegani na kupiga nao picha ili kuwarudisha Israel na wale wa mataifa ya nje kupakiwa kwenye ndege kurudishwa makwao.

Kinyume na hivyo karibia mwezi sasa hakuna mateka aliyepatikana na hakuna picha ya Hamas aliyeuliwa.Badala yake IDF kwa hesabu yake imekiri kupoteza askari wake 23.akiwemo jenerali mmoja.Kwa mahesabu ya Hamas wameshaua askari wengi wa Israel na kuunguza vifaru kadhaa vya merkava.

Na la kufurahisha zaidi sasa wapenzi wa Israel nao wameungana na waungaji mkono wa Hamas kusikitika kwa namna jeshi la Israel lilivyobadILI malengo yake ghafla na kuanza kupiga hospitali,magari ya wagonjwa na shule,kitu kinachopelekea kuuliwa kwa watoto wengi.

Hasira hizo zinatokana na kuonekana kushindwa kazi kwa vile vifaru vya kusifika vya Israel aina ya Merkava ambavyo maana yake ni Ngome ya Mungu. Vifaru hivyo vimeonekana kupigika kirahisi na bunduki za kawaida za Hamas aina ya RPG na kwa kutumia mabomu mengine ya kudondoshwa na droni.

Matokeo hayo kwa mujibu wa vidio zinazorushwa kwenye mitandao ya kijamii ndiyo yaliyopelekea kuonekana aina mpya ya vifaru vya ghali sana vya kimarekani matoleo ya Abrams 1 na Abrams 2.Vifaru hivyo navyo kwa kuangalia vidio hizo navyo havijasalimika na vipigo vya bunduki za Hamas.
Ustaadh una shida kichwani, endelea kuishi shimoni hivyo hivyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wale wapenzi wachache wa Israel wameona matokeo yasiyopendeza katika jeshi la Israel.Walitaraji baada ya siku mbili kuingia Gaza,kajioneo kadogo tu wangeona vikosi vya IDF vikiwa vimebeba mateka mabegani na kupiga nao picha ili kuwarudisha Israel na wale wa mataifa ya nje kupakiwa kwenye ndege kurudishwa makwao.

Kinyume na hivyo karibia mwezi sasa hakuna mateka aliyepatikana na hakuna picha ya Hamas aliyeuliwa.Badala yake IDF kwa hesabu yake imekiri kupoteza askari wake 23.akiwemo jenerali mmoja.Kwa mahesabu ya Hamas wameshaua askari wengi wa Israel na kuunguza vifaru kadhaa vya merkava.

Na la kufurahisha zaidi sasa wapenzi wa Israel nao wameungana na waungaji mkono wa Hamas kusikitika kwa namna jeshi la Israel lilivyobadILI malengo yake ghafla na kuanza kupiga hospitali,magari ya wagonjwa na shule,kitu kinachopelekea kuuliwa kwa watoto wengi.

Hasira hizo zinatokana na kuonekana kushindwa kazi kwa vile vifaru vya kusifika vya Israel aina ya Merkava ambavyo maana yake ni Ngome ya Mungu. Vifaru hivyo vimeonekana kupigika kirahisi na bunduki za kawaida za Hamas aina ya RPG na kwa kutumia mabomu mengine ya kudondoshwa na droni.

Matokeo hayo kwa mujibu wa vidio zinazorushwa kwenye mitandao ya kijamii ndiyo yaliyopelekea kuonekana aina mpya ya vifaru vya ghali sana vya kimarekani matoleo ya Abrams 1 na Abrams 2.Vifaru hivyo navyo kwa kuangalia vidio hizo navyo havijasalimika na vipigo vya bunduki za Hamas.
Hakika imani ni utumwa mkubwa sana , unataka uone wamepiga picha na maiti za Hamas! Unataka uone wakiranda viunga vya Gaza!
Yaani watu wanapukutika wewe unaleta mambo ya imani. Unatakiwa kujua na unajua , Hamasi hawana kambi juu ya ardhi, chini ya majumba ndiko wameweka ngome na maghala yao. Hata hivyo unatakiwa kujiuliza ikiwezekana je Israel iizingire Gaza.
Kwa taarifa yako kwa sasa Hamas wanajaribu kutoroka kutoka kaskazini kwa Gaza kwa kutumia magari ya wagonjwa wakiwa wamevaa kiraia, wanajificha kwenye mashule, mahospitali. Bahati yao mbaya sana wamezingirwa na watafuta habari w Israel ni wapo miongoni mwa wapalestina wanaolia na kuonyesha picha za watoto. Wanawaplot na kuwaua . Umeona jana ile ambulance , umeona wakijaribu kutoroka kwa miguu wote wameuliwa.
Umewahi kujiuliza maeneo yote wanayopiga hao mayahudi yanakuwa na watoto tu? Mbona maiti za watu wazima.wanazificha?
Silaha hutumika moja baada ya nyingine kulingana na hali ya uwanja wa vita. Vita si kitu cha kushangilia ndg yangu.vita haichagui mwanamke wala mtoto,hasa adui anapotumia raia kama ngao
 
Hizi propaganda ni Kama zile za Isis kuwa wanaenda kuteka ulaya na hatimaye dunia nzima Kumbe walikuwa na silaha za mabua na mbinu hafifu na sasahivi ni historia .

Hezbula Jana ameongea lakini anaogopa kuingilia sababu kuna meli zipo bahari ya mediteranian zinasubiri mbishi yoyote akianzishe .
 
Propaganda kama kawaida kama zilezile za Mohammed Al Sahaf wa Iraq. Kwa hiyo magaidi wa Hamas wenyewe ni majini hawawezi kufa ila wananchi wao ndio wanakufa. Bure kabisa.
Tuonyeshe zilipo maiti zao ,sisi tunaiona misiba ya kaka zako. Mnachujua ni kulipua hospital na kuua watoto .
 
Wale wapenzi wachache wa Israel wameona matokeo yasiyopendeza katika jeshi la Israel.Walitaraji baada ya siku mbili kuingia Gaza,kajioneo kadogo tu wangeona vikosi vya IDF vikiwa vimebeba mateka mabegani na kupiga nao picha ili kuwarudisha Israel na wale wa mataifa ya nje kupakiwa kwenye ndege kurudishwa makwao.

Kinyume na hivyo karibia mwezi sasa hakuna mateka aliyepatikana na hakuna picha ya Hamas aliyeuliwa.Badala yake IDF kwa hesabu yake imekiri kupoteza askari wake 23.akiwemo jenerali mmoja.Kwa mahesabu ya Hamas wameshaua askari wengi wa Israel na kuunguza vifaru kadhaa vya merkava.

Na la kufurahisha zaidi sasa wapenzi wa Israel nao wameungana na waungaji mkono wa Hamas kusikitika kwa namna jeshi la Israel lilivyobadILI malengo yake ghafla na kuanza kupiga hospitali,magari ya wagonjwa na shule,kitu kinachopelekea kuuliwa kwa watoto wengi.

Hasira hizo zinatokana na kuonekana kushindwa kazi kwa vile vifaru vya kusifika vya Israel aina ya Merkava ambavyo maana yake ni Ngome ya Mungu. Vifaru hivyo vimeonekana kupigika kirahisi na bunduki za kawaida za Hamas aina ya RPG na kwa kutumia mabomu mengine ya kudondoshwa na droni.

Matokeo hayo kwa mujibu wa vidio zinazorushwa kwenye mitandao ya kijamii ndiyo yaliyopelekea kuonekana aina mpya ya vifaru vya ghali sana vya kimarekani matoleo ya Abrams 1 na Abrams 2.Vifaru hivyo navyo kwa kuangalia vidio hizo navyo havijasalimika na vipigo vya bunduki za Hamas.
Kumbe HAMAS ina nguvu kuliko jeshi la Israel? Sasa mbona jeshi la HAMAS limeshindwa kuingia Jerusalem? au kuna nini hebu tujuze wewe mtaalamu wa vita
 
Umburula shida sana kwa maustaadh wengi, hivi Hamas ambao wamekimbilia shimoni, kuacha Gaza mikononi mwa IDF, wamefunulia Dunia nini?

Labda wamefunulia Dunia kwamba, ukivizia watoto, wazee na akina mama wa kiisraeli ndio udhaifu wa Israel hapo et[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kila siku tumechoka na misamiati yenu ya kijinga, lengo lenu si kuifuta Israel, sasa Hamas wamewafunulia kwamba Israel ni dhaifu, ebu iingieni sasa, mkaivamie mchukue na ardhi yenu, make ni dhaifu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya majitu ya hiyo Dini isiyokula hot chair ni majinga sana, ngoja Israel ayaue yote ili yaishe
 
Hakika imani ni utumwa mkubwa sana , unataka uone wamepiga picha na maiti za Hamas! Unataka uone wakiranda viunga vya Gaza!
Yaani watu wanapukutika wewe unaleta mambo ya imani. Unatakiwa kujua na unajua , Hamasi hawana kambi juu ya ardhi, chini ya majumba ndiko wameweka ngome na maghala yao. Hata hivyo unatakiwa kujiuliza ikiwezekana je Israel iizingire Gaza.
Kwa taarifa yako kwa sasa Hamas wanajaribu kutoroka kutoka kaskazini kwa Gaza kwa kutumia magari ya wagonjwa wakiwa wamevaa kiraia, wanajificha kwenye mashule, mahospitali. Bahati yao mbaya sana wamezingirwa na watafuta habari w Israel ni wapo miongoni mwa wapalestina wanaolia na kuonyesha picha za watoto. Wanawaplot na kuwaua . Umeona jana ile ambulance , umeona wakijaribu kutoroka kwa miguu wote wameuliwa.
Umewahi kujiuliza maeneo yote wanayopiga hao mayahudi yanakuwa na watoto tu? Mbona maiti za watu wazima.wanazificha?
Silaha hutumika moja baada ya nyingine kulingana na hali ya uwanja wa vita. Vita si kitu cha kushangilia ndg yangu.vita haichagui mwanamke wala mtoto,hasa adui anapotumia raia kama ngao
Kwanza tuambie kwa nn Israel alizima Internet ili tusione kinacho endelea vutani?
 
Kumbe HAMAS ina nguvu kuliko jeshi la Israel? Sasa mbona jeshi la HAMAS limeshindwa kuingia Jerusalem? au kuna nini hebu tujuze wewe mtaalamu wa vita
Hapo zamani haikuwa na nguvu na hawakubweteka.Walitumia chuma chakavu na mabaki ya maroketi wanayopigwa kutengeneza kitu na Mungu akawapa mafanikio.Walipopata nguvu wakaamua wajitetee.
Kwa fikra zako ungependa kila siku wazidi kunyongonyea.
 
Back
Top Bottom