Vifaru vya Merkava vimeshindwa kazi.Vile vya Abrams vya Marekani vyaingia mzigoni Gaza

Yaaan IS ilifanywa sehem ya marekan na urus kujaribia silaha zake
 
Tuonyeshe zilipo maiti zao ,sisi tunaiona misiba ya kaka zako. Mnachujua ni kulipua hospital na kuua watoto .
Magaidi wanavaa kiraia na wanajificha miongoni mwa raia na kwa njia hiyo wanakufa na raia wengine.

Ona hadi wanatumia magari ya kubebea wagonjwa kusafirishia silaha, wapiganaji na mahitaji yao mengine.
 
Kila hamas ameshakufa haijalishi upo hai lakini umeshakufa. Dead corpses
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…