Vifo 6 vya Bodaboda vinavyodaiwa kutokea kwenye Mashindano Arusha ni uzembe mkubwa sana, Waandaaji wanapaswa kuwajibishwa

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Huwa nasema kila siku humu, CCM mtaji wao mkuu namba moja ni Ujinga wa hili taifa na pili na umasikini.

Bodaboda ni watu wanatumika kisiasa sana na kwa sababu ya kiwango chao cha juu cha ujinga walicho nacho hawajui kama wanatumika kiasiasa.

Kule Arusha jumapili kulikuwa na mashindano ya Pikipiki, na inaaminika Bodaboda 6 wamefariki kwwnye hayo mashindano hao ni kuacha walio Mount Meru Hospital kwa sasa wakiwa wamevunjika vunjika miguu.

Ila tukirudi kwenye Uhalisia je BODA BODA ZILE TOYO NI PIKIPIKI ZA MSHINDANO? hapa tu Africa kuna nchi hizi Toyo haziruhusiwi make hazina hata quality ya kubeba binadamu na kuwepo barabarani.

Kwa sababu sisi ni Taifa la wajinga tumezigezua kuwa ni mtaji wa kisiasa na ndio maana zinachinja watu daily.

Kama kuchinja watu barabarani hakutoshi sasa wakina Makonda wameamua kuzitumia kwenye mashindano ya pikipiki kutafuta mailage.

Ujinga na Umasikini vitaendelea kuwa mitaji ya wana CCM kwa muda mrefu sana

Kwenye utawala wa Sheria waandaaji wa hayo mashindano walipaswa kuwa ndani kwa sasa ila hilo haliwezekani Tanzania hii ya wajinga.

Chanzo: Nipashe
 

Attachments

  • Screenshot_20240716_181836_com.facebook.katana.jpg
    714.7 KB · Views: 5
Waliokufa hawakufia uwanja wa mashindano na wala hawakuwa kwenye mashindano ni bodaboda washabiki waliofia barabarani kuonyesha mbwembwe barabarani wakienda kuona mashindano

Sio wahusika wa mashindano
Na Traffic wakikataza wakakaidi wakagongana bodaboda kwa bodaboda
Lema aache uongo
.kwenye mashindano kulikuwa na proffesinal watupu hakuna aliyekufa
 
Lengo wachafue tu hali ya hewa na Makonda aonekane mbaya!
 
Mashindano hayo yapo muda mrefu na Makonda kayakuta! Hao waliokufa hawakufia kwenye eneo la mashindano!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…