Vifo hasa vya viongozi wakuu ni ukumbusho kwa sisi tuliobaki

Vifo hasa vya viongozi wakuu ni ukumbusho kwa sisi tuliobaki

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Binaadam yoyote akifa hana thamani tena ndani ya jamii
Hakuna anaekubali kulala na maiti ktk chumba kimoja hasa hio maiti iwe ya tajiri au kiongozi mkuu
Wakiondoka viongozi basi sisi wa chini tunatakiwa tuingie akili kwamba hatuna chetu ktk dunia.
1. Kiongozi kwa upande wa kiislam akifa nguo yake haizi elf 10 atayotiwa kaburini
2. Kiongozi akifa Hakuna anaekubali kulala kaburini kila mmoja anaukuta usingizi mzuri kwake.
3. Muislam akifa dua na Quran ndio tawala na sio ilani ya vyama vyetu.
Dunia haina mzuri au bora. Ukijiona bora pita mitaani angalia msonano wa nyumba na zote zinakaa watu. Mimi na wewe nani hadi tujione bora?
Akifa kiongozi tunaona live jinsi anavyoingizwa ktk kaburi na tunatakiwa tuwe funzo kwetu kwamba sisi chakula cha mchwa.
Tujifunze kwamba dunia haina bwana, mjanja wala Jabari. Unaingizwa ktk shims hata mguu hautikisi
 
Nawasubiri hapa wale wa kuvalisha maiti suti na tai waje kuleta povu, niwaporomoshee..................
 
Binaadam yoyote akifa hana thamani tena ndani ya jamii
Hakuna anaekubali kulala na maiti ktk chumba kimoja hasa hio maiti iwe ya tajiri au kiongozi mkuu
Wakiondoka viongozi basi sisi wa chini tunatakiwa tuingie akili kwamba hatuna chetu ktk dunia.
1. Kiongozi kwa upande wa kiislam akifa nguo yake haizi elf 10 atayotiwa kaburini
2. Kiongozi akifa Hakuna anaekubali kulala kaburini kila mmoja anaukuta usingizi mzuri kwake.
3. Muislam akifa dua na Quran ndio tawala na sio ilani ya vyama vyetu.
Dunia haina mzuri au bora. Ukijiona bora pita mitaani angalia msonano wa nyumba na zote zinakaa watu. Mimi na wewe nani hadi tujione bora?
Akifa kiongozi tunaona live jinsi anabyoingizwa ktk kaburi na tunatakiwa tuwe funzo kwetu kwamba sisi chakula cha mchwa.
unazungumzia kifo au kusifia dini yako 🐒
 
unazungumzia kifo au kusifia dini yako 🐒
Kwani kuna tatizo akisifia dini yake, mbona kunamada kibao za kuwasifia wachungaji na usomi wa teologia kama uliotukuka na wa kutuvusha katika zama za sayansi na teknolojia
 
Kwani kuna tatizo akisifia dini yake, mbona kunamada kibao za kuwasifia wachungaji na usomi wa teologia kama uliotukuka na wa kutuvusha katika zama za sayansi na teknolojia
mbona ni kiungo Cha ubishi 🐒

nataka kujua hoja yake hasa ni ipi ya hizo ili nipate kuchangia kwa umakini zaidi bila porojo na stori za pata potea 🐒
 
mbona ni kiungo Cha ubishi 🐒

nataka kujua hoja yake hasa ni ipi ya hizo ili nipate kuchangia kwa umakini zaidi bila porojo na stori za pata potea 🐒
Wewe ndio unataka kuleta porojo na stori za patapotea

Mada yake iko wazi, wafu wote ni sawa hata ukiwa unazikwa kitajiri au unafukiwa kimasikini
 
Mbona umekazia sana kama kifo ni adhabu. Wakati ni mchakato wa nature? Kwa hiyo unataka watu wasi enjoy good moment za maisha kisa kuna kifo?
 
Hiyo ameanzia chuo Kwanza ndio akaenda vidudu, haya ndio madhara yake.
Mimi nimeanzia chuo na nikaenda vidudu, wewe mbuzi wa jf unajiita dr, tuweke ligi hapa nani kasoma zaidi na kwa kiwango cha elimu ya nchi gani duniani na ugumu wa mchepuo wa elimu uliyosoma nikimaaanisha masomo ya sayansi na uhandisi ?
 
Kiongozi nae ni binadamu wa kawaida kufa ni kufa tu hakuna funzo
 
Binaadam yoyote akifa hana thamani tena ndani ya jamii
Hakuna anaekubali kulala na maiti ktk chumba kimoja hasa hio maiti iwe ya tajiri au kiongozi mkuu
Wakiondoka viongozi basi sisi wa chini tunatakiwa tuingie akili kwamba hatuna chetu ktk dunia.
1. Kiongozi kwa upande wa kiislam akifa nguo yake haizi elf 10 atayotiwa kaburini
2. Kiongozi akifa Hakuna anaekubali kulala kaburini kila mmoja anaukuta usingizi mzuri kwake.
3. Muislam akifa dua na Quran ndio tawala na sio ilani ya vyama vyetu.
Dunia haina mzuri au bora. Ukijiona bora pita mitaani angalia msonano wa nyumba na zote zinakaa watu. Mimi na wewe nani hadi tujione bora?
Akifa kiongozi tunaona live jinsi anavyoingizwa ktk kaburi na tunatakiwa tuwe funzo kwetu kwamba sisi chakula cha mchwa.
Tujifunze kwamba dunia haina bwana, mjanja wala Jabari. Unaingizwa ktk shims hata mguu hautikisi
Wanaolingania dini kwa kuua wenzao tuwaeleweje? Wanaelewa hili somo lako ulilopost hapa? Unauwaje binadamu mwenzio kwa jina la mungu?
 
Wanaolingania dini kwa kuua wenzao tuwaeleweje? Wanaelewa hili somo lako ulilopost hapa? Unauwaje binadamu mwenzio kwa jina la mungu?
 
Hivi kwanini binadamu wanachukulia kifo kama ni kitu Cha ajabu sana!
Kufa ni ubongo kushindwa kufanya kazi na organs zote kuzima Kisha bakteria kufanya Yao kurutubisha ardhi mimea ikue izalishe oksjeni na chakula maisha mapya yaanze!

Kufa sio kitu Cha kushangaza ni mchakato wa kuifanya Dunia iendelee kuwepo
Hayo mengine ni kujifariji tu
 
Wanaolingania dini kwa kuua wenzao tuwaeleweje? Wanaelewa hili somo lako ulilopost hapa? Unauwaje binadamu mwenzio kwa jina la mungu?
Kama hio lugha ni ngumu nikuletee ya ya kimatumbi
 
Back
Top Bottom