Vifo hasa vya viongozi wakuu ni ukumbusho kwa sisi tuliobaki

Vifo hasa vya viongozi wakuu ni ukumbusho kwa sisi tuliobaki

Kama hio lugha ni ngumu nikuletee ya ya kimatumbi
Hujaelewa context au unajitoa ufahamu? Wakiamua kuchomana wenyewe kwa imani yao yatuhusu nini sisi? Miungu yako inakutuma kuuwa wasio na habari na imani yako huoni tofauti?
 
Hujaelewa context au unajitoa ufahamu? Wakiamua kuchomana wenyewe kwa imani yao yatuhusu nini sisi? Miungu yako inakutuma kuuwa wasio na habari na imani yako huoni tofauti?
Kwa kuwa niko one step ahead
Sasa unaleta talalila..............
Wanalipuliwa na taleban ni wagalatia ?
Wanaokufa vita ya Yemeni ni wagalatia?
 
Hichi ulichopost kinauhusiano gani na uzi
 
Hichi ulichopost kinauhusiano gani na uzi
Kwani nilikukwoti posti yako ?
Ki;la nilicho posti kina shabihiana na jibu la marejeo yaliyopostiwa kwenye hii mada

NB:
The Lord's Resistance Army (LRA) is a Christian extremist organization which operates in northern Uganda, South Sudan, Sudan, the Central African Republic, and the Democratic Republic of the Congo.[10] Its stated goal includes the establishment of multi-party democracy[11] in a Uganda bound by the Ten Commandments.[12][13]
 
Kwa kuwa niko one step ahead
Sasa unaleta talalila..............
Wanalipuliwa na taleban ni wagalatia ?
Wanaokufa vita ya Yemeni ni wagalatia?
Wakiuana wenyewe kwa wenyewe kwa Imani zao no problem whether ni Yemen, Taleban, Joseph Konyi, is up to them! But killing someone else simply haamini unachoamini that's unacceptable!
 
Kwani nilikukwoti posti yako ?
Ki;la nilicho posti kina shabihiana na jibu la marejeo yaliyopostiwa kwenye hii mada

NB:
The Lord's Resistance Army (LRA) is a Christian extremist organization which operates in northern Uganda, South Sudan, Sudan, the Central African Republic, and the Democratic Republic of the Congo.[10] Its stated goal includes the establishment of multi-party democracy[11] in a Uganda bound by the Ten Commandments.[12][13]
Inferiority complex inakutesa sana
 
Kwani nilikukwoti posti yako ?
Ki;la nilicho posti kina shabihiana na jibu la marejeo yaliyopostiwa kwenye hii mada

NB:
The Lord's Resistance Army (LRA) is a Christian extremist organization which operates in northern Uganda, South Sudan, Sudan, the Central African Republic, and the Democratic Republic of the Congo.[10] Its stated goal includes the establishment of multi-party democracy[11] in a Uganda bound by the Ten Commandments.[12][13]
LRA walilipua msikiti upi kwa mfano? Si waliuana kwa ujinga wa Imani yao? Yakuhusu nini? Mfano wa kipumbavu!
 
Binaadam yoyote akifa hana thamani tena ndani ya jamii
Hakuna anaekubali kulala na maiti ktk chumba kimoja hasa hio maiti iwe ya tajiri au kiongozi mkuu
Wakiondoka viongozi basi sisi wa chini tunatakiwa tuingie akili kwamba hatuna chetu ktk dunia.
1. Kiongozi kwa upande wa kiislam akifa nguo yake haizi elf 10 atayotiwa kaburini
2. Kiongozi akifa Hakuna anaekubali kulala kaburini kila mmoja anaukuta usingizi mzuri kwake.
3. Muislam akifa dua na Quran ndio tawala na sio ilani ya vyama vyetu.
Dunia haina mzuri au bora. Ukijiona bora pita mitaani angalia msonano wa nyumba na zote zinakaa watu. Mimi na wewe nani hadi tujione bora?
Akifa kiongozi tunaona live jinsi anavyoingizwa ktk kaburi na tunatakiwa tuwe funzo kwetu kwamba sisi chakula cha mchwa.
Tujifunze kwamba dunia haina bwana, mjanja wala Jabari. Unaingizwa ktk shims hata mguu hautikisi
Umaskini ni mbaya mno
 
LRA walilipua msikiti upi kwa mfano? Si waliuana kwa ujinga wa Imani yao? Yakuhusu nini? Mfano wa kipumbavu!
Umeshaloa tayari
Umejionysha ulikuwa unadhamira gani kwenye posti zako,
una third world IQ level, nature vs nurture
 
Umeshaloa tayari
Umejionysha ulikuwa unadhamira gani kwenye posti zako,
una third world IQ level, nature vs nurture
Wewe una IQ gani? Hujaelewa nilichomuuliza mwanzisha uzi au? Bringing irrelevant examples ndio IQ?
 
Kufa ni sehemu ya maisha ya kiumbe hai na tujue hivo, uliyoyaandika hayana maana zaidi ya kuogopa kifo
 
Back
Top Bottom