Vifo hasa vya viongozi wakuu ni ukumbusho kwa sisi tuliobaki

Hujaelewa context au unajitoa ufahamu? Wakiamua kuchomana wenyewe kwa imani yao yatuhusu nini sisi? Miungu yako inakutuma kuuwa wasio na habari na imani yako huoni tofauti?
 
Hujaelewa context au unajitoa ufahamu? Wakiamua kuchomana wenyewe kwa imani yao yatuhusu nini sisi? Miungu yako inakutuma kuuwa wasio na habari na imani yako huoni tofauti?
Kwa kuwa niko one step ahead
Sasa unaleta talalila..............
Wanalipuliwa na taleban ni wagalatia ?
Wanaokufa vita ya Yemeni ni wagalatia?
 
Hichi ulichopost kinauhusiano gani na uzi
 
Hichi ulichopost kinauhusiano gani na uzi
Kwani nilikukwoti posti yako ?
Ki;la nilicho posti kina shabihiana na jibu la marejeo yaliyopostiwa kwenye hii mada

NB:
The Lord's Resistance Army (LRA) is a Christian extremist organization which operates in northern Uganda, South Sudan, Sudan, the Central African Republic, and the Democratic Republic of the Congo.[10] Its stated goal includes the establishment of multi-party democracy[11] in a Uganda bound by the Ten Commandments.[12][13]
 
Kwa kuwa niko one step ahead
Sasa unaleta talalila..............
Wanalipuliwa na taleban ni wagalatia ?
Wanaokufa vita ya Yemeni ni wagalatia?
Wakiuana wenyewe kwa wenyewe kwa Imani zao no problem whether ni Yemen, Taleban, Joseph Konyi, is up to them! But killing someone else simply haamini unachoamini that's unacceptable!
 
Inferiority complex inakutesa sana
 
LRA walilipua msikiti upi kwa mfano? Si waliuana kwa ujinga wa Imani yao? Yakuhusu nini? Mfano wa kipumbavu!
 
Umaskini ni mbaya mno
 
LRA walilipua msikiti upi kwa mfano? Si waliuana kwa ujinga wa Imani yao? Yakuhusu nini? Mfano wa kipumbavu!
Umeshaloa tayari
Umejionysha ulikuwa unadhamira gani kwenye posti zako,
una third world IQ level, nature vs nurture
 
Umeshaloa tayari
Umejionysha ulikuwa unadhamira gani kwenye posti zako,
una third world IQ level, nature vs nurture
Wewe una IQ gani? Hujaelewa nilichomuuliza mwanzisha uzi au? Bringing irrelevant examples ndio IQ?
 
Kufa ni sehemu ya maisha ya kiumbe hai na tujue hivo, uliyoyaandika hayana maana zaidi ya kuogopa kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…