Vifo vya MANGULI vilivyozua utata, lakini hadi leo havijapatiwa ufumbuzi….!

Vifo vya MANGULI vilivyozua utata, lakini hadi leo havijapatiwa ufumbuzi….!

Jon bennet angekuwa binti mkubwa sasa tena mrembo sana! Mamake alifariki kwa kansa! Napenda sana watoto, naumia kuona mtoto anatendewa isivyo haki! Rip little angel!
 
Jon bennet angekuwa binti mkubwa sasa tena mrembo sana! Mamake alifariki kwa kansa! Napenda sana watoto, naumia kuona mtoto anatendewa isivyo haki! Rip little angel!
images

cacico sasa hivi angekuwa kama hivi.........
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi

Kama utamkumbuka huyu jamaa alikua kwenye kundi la 2PAC kundi lililokua linajiita Junior Mafia walimuimba na kumtukana matusi yote ya hapa duniani BIG lazima kundi hili liishe lote! walianza na 2Pac halafu akafuatia Kadafi bado wengine watafuta!
 
Last edited by a moderator:
73784_104561939613636_100001794920481_35369_7608667_n2.jpg


Kama utamkumbuka huyu jamaa alikua kwenye kundi la 2PAC kundi lililokua linajiita Junior Mafia walimuimba na kumtukana matusi yote ya hapa duniani BIG lazima kundi hili liishe lote! walianza na 2Pac halafu akafuatia Kadafi bado wengine watafuta!

Ugomvi wao ulishamalizwa na akin Jesse Jackson na Andrew Young
 
Ndallo
73784_104561939613636_100001794920481_35369_7608667_n2.jpg


Kama utamkumbuka huyu jamaa alikua kwenye kundi la 2PAC kundi lililokua linajiita Junior Mafia walimuimba na kumtukana matusi yote ya hapa duniani BIG lazima kundi hili liishe lote! walianza na 2Pac halafu akafuatia Kadafi bado wengine watafuta!


Mkuu umechanganya mambo. JUNIOR MAFIA halikuwa kundi la 2Pac bali kundi la Biggie likiundwa na Lil Kim na Lil Ceaser. Kundi la 2Pac ambalo Yaki Kaddafi au Yaki Fula alikuwamo linaitwa THE OUTLAWS.
 
Wengine ni pamoja na Marilyn Monroe, mcheza sinema maarufu sana wa zamani na aliyekuwa kimada wa Rais John Kennedy. Kurt Cobain, Mwanamuziki maarufu wa Rock. Olof Palme, Waziri Mkuu wa zamani wa Sweden na Big L, rapper kutoka Harlem NY aliyekuwa anainukia kwa kasi.
 
Mtambuzi kuna vifo vingi sana vya MANGULI ambavyo mpaka leo havijulikana vilitokeaje na kwa sababu zipi. Lakini, haraka haraka, na kwa kufikiri kipuuzi, nahisi kuwa vifo hivi hupangwa makusudi na makundi fulani fulani yenye interest fulani au yanayohisi kuwa uwepo wa watu fulani fulani unaweza kuhatarisha usalama wao au una interfere interest zao fulani!

Umewasahau akina Lucky Dube, aliyeuawa kwa risasi inasemakana na majambazi, lakini si kweli kwani hakuna kilichoibiwa wakati wa tukio na wengineo wengi. Hata hapa kwetu TZ kuna baadhi ya viongozi ambao pia vifo vyao vinanishangaza mpaka sasa. Mfano akina Daudi Balali, governor wa zamani wa bank kuu, Major General Imran Kombe, Hayati Horace Kolimba nk nk
Umemsahau Moringe Sokoine
 
Ndivyo inavyokuwa.

Sijui kuna siri gani!
 
Back
Top Bottom