Tetesi: Vifo vya Nelli tembe na AKA

Tetesi: Vifo vya Nelli tembe na AKA

Lakini pia kuachana na kukisiwa kwa baba mkwe wake na AKA kuwa labda amehusika katika kile kinachosemekana ni kisasi juu ya mwanae pia upande mwingine watu...

Wanasema cassper nyovest anaweza kuwa amehusika kutokana na beef walilokuwa nalo.kuna picha hapa chini nimeiweka utaelewa nini nasema.
IMG_0773.jpg
 
Hivi mlipa kisasi huwa anapata amani ya moyo baada ya kutekeleza malipo ya kisasi chake?
Yes,yaani ndio inaitwa closure, fiancee wake kafariki 11 April,hapo Capetown,(home town ya AKA ),AKA Kala risasi 11Feb hapo Durban (home town ya fiancee),karma haikuachi
 
Well I guess wa rest in peace yeye na mchumba wake!
I feel sorry for the dude who was AKA’s friend!
May he rest in peace uwiii jamani jamani [emoji22]
 
Lakini pia kuachana na kukisiwa kwa baba mkwe wake na AKA kuwa labda amehusika katika kile kinachosemekana ni kisasi juu ya mwanae pia upande mwingine watu...

Wanasema cassper nyovest anaweza kuwa amehusika kutokana na beef walilokuwa nalo.kuna picha hapa chini nimeiweka utaelewa nini nasema.View attachment 2514052
Wabongo mmeanza sasa ...
😏😏
 
Hii meseji za kipuuzi km hizi ndiyo maana Afrika hatuendelei kamwe..
Hatuendelei kwa sababu hatufanyii uchunguzi matukio ya mauwaji kama haya siyo?

Duniani zipo nchi ktk issue za upepelezi wako vizuri eg USA lakini zipo bado case watu walihisiwa kuuwa wakapewa death penalty au vifungo vya maisha mwisho hao hao wakaja kugundua wahusika hawakuwa wauwaji wakaachiwa,the issue is:hakuna namna ya kufanya kumjua m'baya wa marehemu kwenye matukio kama haya unless iwe kuna eye witnesses na ukitaka iwe tofauti na hivyo itabidi sasa marehemu aamke aseme ni fulani na fulani ndo niligombana nao jambo ambalo ni gumu.
 
Haya mambo unakuta kuna watu maybe aliwakosea au ni maswala ya kurushana hela.Ila hili la Nelly kujirusha chini kutoka kwenye chumba cha hoteli inafikirisha
Kama kifo cha yule wakili maarufu Nyaga Mawala ambaye naye ilisemwa kuwa alijirusha ghorofani ya wodi alipokuwa anatibiwa.
 
Hatuendelei kwa sababu hatufanyii uchunguzi matukio ya mauwaji kama haya siyo?

Duniani zipo nchi ktk issue za upepelezi wako vizuri eg USA lakini zipo bado case watu walihisiwa kuuwa wakapewa death penalty au vifungo vya maisha mwisho hao hao wakaja kugundua wahusika hawakuwa wauwaji wakaachiwa,the issue is:hakuna namna ya kufanya kumjua m'baya wa marehemu kwenye matukio kama haya unless iwe kuna eye witnesses na ukitaka iwe tofauti na hivyo itabidi sasa marehemu aamke aseme ni fulani na fulani ndo niligombana nao jambo ambalo ni gumu.
Mkuu, hawa wapanga mipango ya mauaji mara nyingi huwa wanakodi watu wa kutekeleza mpango huo. Sasa mtu maarufu ana interact na wengi na pia anaingia migogoro na wengi, hata akifufuka atajuaje kuwa waliompiga risasi walitumwa na watu fulani? Maana ukiangalia matukio hayo huwa ni ya haraka sana, yaani sijui kama wauaji huwa wanajitambulisha kuwa wametumwa na nani..tofauti na mauaji yanayofanywa baada ya mtu kutekwa
 
Mkuu, hawa wapanga mipango ya mauaji mara nyingi huwa wanakodi watu wa kutekeleza mpango huo. Sasa mtu maarufu ana interact na wengi na pia anaingia migogoro na wengi, hata akifufuka atajuaje kuwa waliompiga risasi walitumwa na watu fulani? Maana ukiangalia matukio hayo huwa ni ya haraka sana, yaani sijui kama wauaji huwa wanajitambulisha kuwa wametumwa na nani..tofauti na mauaji yanayofanywa baada ya mtu kutekwa
Yah mkuu wewe umenielewa vizuri.

Nilikuwa namjibu jamaa pale juu alini-quote kwa kuni-crush kwamba Africa hatuendelei kwa sababu hatufanyii uchunguzi yakinifu matukio kama haya ila ukweli siri nyingi ktk matukio haya anakufa nazo marehemu kama hapa wanahisi labda master mind wa tukio ni mkwewe ila nani anajua jamaa alikuwa amegombana na watu wengine zaidi?
 
Back
Top Bottom