Utafiti wangu unaonyesha ziwa likiwa kubwa tako linakuwa dogoSawa lakini omba usikutwe una flat screen, maziwa makubwa na komwe juu ndio utajua hujui
Acha tu 🤣🤣🤣Baada ya kuona wowowoo akakuacha?
Huruma mbaya 😃Acha tu 🤣🤣🤣
flat screen tubaki wachache
Utafiti wangu unaonyesha kwamba wenye flat wana akili kuliko waliobeba mizigo minene.
Yaani kadiri ya ukubwa wa mzigo basi grafu ya akili inashuka
Hapana😀 ninahisi ule uzito unafanya ubongo ku-relax[emoji3][emoji3][emoji3] akili zinahamia kwenye makalio
😂😂😂😂😂😂 komwe lazimaSawa lakini omba usikutwe una flat screen, maziwa makubwa na komwe juu ndio utajua hujui
Sarafina msanii nae anapendeza umbo lakeWanakutana tu na watu wachafu bana sa linanukaje.
Igoma mwanza?
Yes huddah anavutia japo nae katengeneza
Hivyo sio vitu vya kumnyima mtu, mi nkimuona mtu mwenye wowowo zuri kapita namshtua asuuze macho make namjua anapenda mawowowo
bubble butt🌚We utakua unakutana tu na mitrako ya kina mwantumu, kuna sexy butt za hatari....majuzi nipo njiani na Mr akapita dada mmoja ana takko zuri, kila mtu ilikua macho kwake ikabidi nimshtue Mr nae alicheki khaaaa yule binti hatari
Utafiti wangu unaonyesha ziwa likiwa kubwa tako linakuwa dogo
Ziwa size ya kati tako linakuwa neutral
Tako kubwa ziwa dogo na komwe la kutosha
Mungu anajua kubalansiUtafiti wangu unaonyesha ziwa likiwa kubwa tako linakuwa dogo
Ziwa size ya kati tako linakuwa neutral
Tako kubwa ziwa dogo na komwe la kutosha
Hatari sanaMungu anajua kubalansi
Ukiwa na kichwa kidogo,tako linakuwa kubwa
Ukipewa miguu midogo,tako linakuwa kubwa
Tako kubwa akili kisoda,
Eeeh sasa hilo hips itabidi lipelekwe Mloganzila lipunguzwe kidogoView attachment 2821509
Mnataka hivii [emoji23]
UNasema chai kwani uliipika wewe😂😂
tako unalo mkuu acha uongoUNasema chai kwani uliipika wewe😂😂