Vifo vya Viongozi vitufundishe UNYENYEKEVU

Vifo vya Viongozi vitufundishe UNYENYEKEVU

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Fikiria mtu ana Ulinzi kila sehemu, misafara gari kibao (wakat mwingine mpaka helikopta), Afya check-up Ulaya, anakula chochote anachotaka Ila kifo kinakata hizo mbwembwe zote ndani ya sekunde chache. Tukanyage Ardhi hii Kwa adabu na UNYENYEKEVU. Pia tumche MOLA na tuheshimu binadamu wenzetu, maana mwisho wa maisha hatutaondoka na kitu duniani.
Screenshot_20230320_113238.jpg
 
Fikiria mtu ana Ulinzi kila sehemu, misafara gari kibao, Afya check-up Ulaya, anakula Chochote anachotaka Ila kifo kinakata hizo mbwembwe zote ndani ya sekunde chache.
Tumuombe Mungu ampe Maisha Marefu Raisi wetu.
Yaani ikitokea Yule Mzee kutoka Mwisho wa reli akatwaa u Raia namba Moja, tutarudi kule kule Kwa Mwendakuzimu
 
Hakuna ra
Jasiri baada tu ya kung'ata shuka tu. Ulinzi uliishia hapo.
Hakuna rafiki au mlinzi wa maiti.
Hata hivyo, ni muhimu kujua kwamba kifo ni sehemu ya maisha kama ilivyo kuzaliwa. Mwanadamu hatakiwi kuogopa kifo katika kutekeleza malengo yake. Kuogopa ni dhambi iletayo umasikini mbaya.
 
Fikiria mtu ana Ulinzi kila sehemu, misafara gari kibao (wakat mwingine mpaka helikopta), Afya check-up Ulaya, anakula chochote anachotaka Ila kifo kinakata hizo mbwembwe zote ndani ya sekunde chache. Tukanyage Ardhi hii Kwa adabu na UNYENYEKEVU. Pia tumche MOLA na tuheshimu binadamu wenzetu, maana mwisho wa maisha hatutaondoka na kitu duniani.
Je unaishi maisha yanayo mpendeza Mungu, hudhurumu haki ya kuishi kwa wengine yakikushinda haya mawili lazima ufe mpema
 
Jana nimeona humu Kuna mwamba anachukua rushwa ya bilioni moja ili atoe kibali kwa wafanya biashara, akipata wanne tu ana 4 b ndani ya mwezi. Huyu naye kifo kinaweza kumkaribia?
 
Fikiria mtu ana Ulinzi kila sehemu, misafara gari kibao (wakat mwingine mpaka helikopta), Afya check-up Ulaya, anakula chochote anachotaka Ila kifo kinakata hizo mbwembwe zote ndani ya sekunde chache. Tukanyage Ardhi hii Kwa adabu na UNYENYEKEVU. Pia tumche MOLA na tuheshimu binadamu wenzetu, maana mwisho wa maisha hatutaondoka na kitu duniani.
View attachment 2696677
Najaribu kuwaza kwa Sauti: Wakati bajeti ya uendeshaji wa Gari moja tu kati ya haya kwa mwaka, Yanaweza badilisha shule zaidi ya moja toka hali mbaya na kuwa kwenye hali nzuri na miundombinu iliyobora.
=
Kutoka hali hii
1690348811086.png


Hadi kufikia hali hii.
1690348847392.png


Picha zaidi angalia hapa | SoC03 - Gharama ya Kutojali Elimu: Jinsi ‘Kucheza ’ na Kujifunza kunavyotishia mustakabali wa Taifa letu

Pia soma: SoC03 - Uchunguzi wa matumizi ya fedha za umma: Je, serikali zinafanya kazi kwa manufaa ya wananchi?
Au unakuta Serikali inatumia fedha nyingi kwa ajili ya bajeti ya matumizi ya kawaida ya viongozi, na fedha kidogo ndio zinaelekezwa kwenye bajeti ya maendeleo. Ambapo unaweza kukuta asilimia 62 ya bajeti yote ni kwa manufaa ya viongozi, na asilimia 38 ya bajeti yote kwa huduma za afya, elimu, maji, na kilimo. Hii hupelekea wananchi vijijini kukosa rasilimali na huduma.
 
Back
Top Bottom