Vifo vya watu maarufu sala zinahitajika

Leo asubuhi kuna chaka moja nilikuwa napata, meza ya jirani yangu walikaa WAZEE wawili wanakunywa chai huku wanamzungumzia "Boss!" Mbaya zaidi walikuwa dizain kama wananong'ona! Nikaamua kuwasha data! Chenga. Nikasepa.
 
Ni vizuri tu wakifa ao watu maharufu maana mungu uwatumia pia kutukumbusha kua kila mtu ata uonja umauti ata awe nan[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimitz, sio kwamba watu wasife ila ni wajibu kwani chenye mwanzo kina mwisho ila vifo vya kutatanisha hasa ulimwengu wa roho .
 
Tukishawaombea hao watu maarufu then afe nani?? Kwan wao ni akina nani hadi wasife.. yaan ndugu zetu wenyewe tunasahau kuwaombea wawe hao
 
Tuwaombee waliokufa ama walio hai

na kama hao walio hai lengo la maombi ni nini wasife au eb nieleweshe mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…